upotoshaji mkubwa huu wa jamii...msimsingizie mzee wa watu kuwa kajichotoea pesa wakati yeye kapelekwa urusi hizo pesa zishapotea, wakati mwengine mukiandika vitu lazima muwe muna uhakika navyo.
Wote wawili wana cv za kujitosheleza kuwa manaibu waziri wa Fedha...Saada Mkuya Salum alikuwa Commissioner for External Finance Zanzibar na Janet Mbene has a Master's degree in economics from the University of New England in Australia, na Cv yake nzuri tu so we hope gud things from them
Mukisema kuwa jamaa hana vigezo kuwa waziri....mimi naomba cv ya mr 2 aka sugu waziri kivuli wa chadema tupate kulinganisha, musiongee pumba, zungumzeni fact, tusijiangalie watu wanaotoka dar angalia general elimu aliyokuwa nayo mbona inatosha sana kuwa kiongozi kwa tanzania
walichofanya kenya ndio mfano wa kuigwa? unajuwa kwamba mshahara wa makamo wa rais wa kenya ndio mshahara mkubwa kuliko wa kiongozi yoyote duniani? usiropokwe tu kwa chuki zako kwa kuwa huwapendi wazanzibari, inawekana wakaja kupiga hatua kuliko hata sisi huku wenye, rasilimali kibaooo ila zote...
Wewe una akili kuliko Nyerere si hawa wapumbavu wengine wanaandika Nyerere kasema hivi Nyerere kasema vile Kwani Nyerere ni nani hata akawa hakosei kuweni na akili za karne mpya musiwe wapumbavu wa kuburuzwa tu
@ YeshuaHaMelechaYeshuaHaMelechnzibar ifanywe mkoa wakati wana kila kitu chao, kama unaona ni kijisehemu kidogo tu mbona kuna nchi nyingi tu ni sehemu ndogo zaidi ya Zanzibar lkn ni nchi asizulumiwe mtu kama hatuwezi muungano turudi kule kule kwa zamani Zanzibar na Tanganyika kwasababu...
Katika maisha yangu nimekaa na wabongo sana na kufatilia habari za nyumbani nimeona nimeona muna matatizo ila tatizo lenu moja kubwa munapenda kuzungumza pita kiasi bila ya vitendo na kufikiria hilo jinchi lenu hata ashuke yesu basi haliendelei kwa kuzungumza upumbavu mara mbara,mara...
M.Mungu kasema katika kitabu chake tukufu "summun bukmun umyun fahum la yarjeoon" (they are deaf ,dumb & blind therefore they they do/will not return). so waislam musiawashangae hawa watu Qur-an haisemi uwongo
Naanza kufundisha watu kiswahili sasa katika wana JF mada "Sugu akabidhiwa ofisi isiyo na samani" katika kiswahili hakuna neno samani kuna neno linaitwa Thamani weka kiswahili sawa.
Nawakilisha
Cha kushangaza mtu hujita Mtanzania kumbe kama si Muungano wasingepata hilo jina la Tanzania wangebaki Watanganyika, watu wengine aikili zao sijui zina maji?????
Tanzania ni Muungano wa Serikali 2.
1) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
2)Serikali ya Tanganyika.
Zanzibar ni nchi na ina mikoa 5.
Nafikiri hamujuwi hilo musiwe watu wanaoleta chuki kati ya watanzania na watanzania ,au ndio wale tuliombiwa katika vitabu vya dini "wana masikio lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.