Ule msemo wa "akili za kuambiwa changanya na zako " utumike tu sasa kama upo salama shukuru na endelea kujikinga . maana yakikuta ndo utajua maana. 😭😭😭
Tunaacha kujadili tatizo, tunamjadili Mtu, TUNATAKA, tuone vijana wanaajiriwa walimu wetu na wafanyakazi wanafurahia kazi zao kwa kupata, mshahara kulingana na kupanda kwa maisha, Ukimsema Kairuk ataletwa mwingine afu Tatizo linabaki, Tujadili matatizo na sio watu.
Tambua amepataje nafasi Hiyo,
Linganisha na maamuzi ya nafasi alizowahi shika,
Kuwa mkweli, acha mihemko utamuelewa.
kuna series moja, "Designated Survivor "
Penda sana hii kitu.
TUACHE KUPIGA Kelele tumpe Kiongozi Mda na Yeye achambue bila kuonea upande.
Tuwe wasema kweli pia Tunaomba UKWELI uheshimiwe.
Hii nchi tumeishi kwa upendo toka mwanzo, kama vyama vingi ni kelele masikioni mwa baadhi basi ipelekwe hoja vifutwe.
swala LA kutotembeleana na kujenga uadui kisa tofouti ni itikadi ni vema kila Mtanzania atambue utu ni zaidi ya itikadi na...
kama una akili
kwa sheria hii , utagundua Mambo mawili
1. walioitwa sio wakosaji ni watuhumiwa.no ushahidi
2.Makonda kuwaweka kina Wema ndani zaidi ya masaa 48 aliivinja sheria ,so haki yake hapo ni yeye akaijibu mahakama kwa nn amekiuka sheria .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.