Ni kweli watanzania tunapaswaa kutoka kwenye mkakati wa kulalamika na kuanza kuchukua hatua. tatizo watz wa Mkoa wa Dar es Salaam wanatuangusha katika juhudi hizi. Hawaonyeshi dalili za mapambazuko, sijui ni kwasababu Magogoni ipo mkoani kwao au tatizo ninini hasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.