SAKATA la malipo ya kampuni ya kufua umeme ya Dowans, limeingia hatua mpya baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, Mathias Chikawe, kusema mawaziri wawili waliompinga Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kutangaza serikali kuilipa
kampuni hiyo, walikiuka utaratibu wa...
Tatizo ni Riai kuuwawa bila ya sababu hii kusema akagombee uongozi Lukaza haipo sawa la msingi Chadema viongozi wake wote washtakiwe na waache kujishughulisha na siasa miaka yote ya uhai wao hawana nia njema kwa jaamii inaskitisha sana mpaka leo kuwa wapo njee viongozi wa chadema
Hakuna shaka watanzania wote jana tulishuhudia kandanda safi na ya kujituma kwa ndugu zetu wa zanzibar ukweli kike kikosi kilitimia na kwa uchezaji wao wakiwapo na mashirikiano wakiwa uwanjani hakuna shaka kila mdau wa michezo atakuwa pamoja nami? watanzania tuwache tofauti zetu wakati tunataka...
Zanzibar Yateuwa Makatibu Wakuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Watendaji Wakuu katika Ofisi na Wizara za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Baraza la Mapinduzi na Katibu Kiongozi, Dk...
Zanzibar Yateuwa Makatibu Wakuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Watendaji Wakuu katika Ofisi na Wizara za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Baraza la Mapinduzi na Katibu Kiongozi, Dk...
mh poa kijana karibu ila baraza la mawaziri halipo poa sana ni wizara 3 tu ndizo jamaa kaweka poa wizara ya mambo ya ndani Shamsi, Magufuli na labda Anatibaijuka ila huyu dada wacha nimuone zaidi.
hivi ww kaka hujuwi hata ulise malo kumbuka serikali iliyoundwa ni ya Jamuhuri ya Muungano si Serikali ya Tanganyika kwa hakika hao wanne kwa upande wa zanzibar pia kidogo ila tu wanzanibar hawana uchu wa madaraka kumbuka kuwa serikali ya Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili na usifananishe...
hivi ww kaka hujuwi hata ulise malo kumbuka serikali iliyoundwa ni ya Jamuhuri ya Muungano si Serikali ya Tanganyika kwa hakika hao wanne kwa upande wa zanzibar pia kidogo ila tu wanzanibar hawana uchu wa madaraka kumbuka kuwa serikali ya Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili na usifananishe...
:target:Watanzania tuwacheni kasumba wakujifanya sisi ni wakamilifu tuache tabia hiyo:target: kosoa panapotokea kosa usikosoe kabla ya kutendeka kosa:A S clock: hakuna alozaliwa kuwa anajuwa na hakuna somo la kusomea Uwaziri wala Urais:target: Uongozi ni matendo mema:target:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.