lakini sasa tunashanga cuf wanakula pamoja na nguruwe akhery wangemuacha nguruwe atafune shaamba mwenyewe kuliko walivyoamua kujiunga nanguruwe maana nguruwe akimaliza mavuno hata wala na wao pia
Kwa kweli samatta ameonyesha ukomavu wa juu, ili ni jambo la kwaza kwa mtu mkubwa kama huyu aliye tumikia taifa kusema ukweli waziwazi, kaka nitumie document yote nipate kutafakari zaid. Kwa kweli serikali inapaswa kujua kwamba haiongozi tena maiti.
Big up mheshimiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.