Mwanakijiji suluhisho sio hilo unalotoa pamoja na dalili zako za kukata tamaa. Kisa cha hali ya sasa ni dhuluma na wizi na ubabaishaji kila sector na kwa muda mrefu bila kujali nani alianza au anamaliza..System inaabudu pesa zaidi na wale wanaotaka kufanya mambo sawa wanawekwa pembeni...Nadhani...
Nina kawaida ya kutopenda hii Hali ya watt wachache kuaamua tu wapi wawekeze invade sidi wanachama hatuna Minsk ya mutants. Nadhani hii Ndio situation tumefikia kuanzia siasa koala uchumi....Tz needs overhaul ya Nguni...Mimi na wewe...thanks MKJJ kwa hii topic
Naikubali analysis yako uwezo-wako, ila kwenye demokrasia ya kweli wananchi sio tu wanamnunia mtu anaewa boa bali wanaweza kumtosha pale alipo...Sisi naona mazali yetu ni kungoja tujaribishe tena 2015..tubadilike
Jamani hii inchi inakwenda wapi? Hamna usalama wa Taifa ku veto hawa jamaa au munawasingizia? Time has come wawe wanaitwa kwa interview in public wa-defend hizo cv zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.