Sijaona point katika maelezo yako,inwezekana kuna sehemu alikosea katika uongozi wake lakini hujaweza kujenga hoja,umekurupuka..
Ila all in all CCM wataanguka tu hata wamtupie nani pale kati...wamezoea kulindwa sana na dola ila mpasuko wa ndani ya chama hauwezi kulindwa na dola...ila gud shot...
Kwanza kabisa nawapa pole wale wote wanaopigania haki,mimi najiuliza huyu mtu anayejiita ni Rais wetu haoni yote haya?kwanini anakuwa akifungia macho mambo makubwa hivi,tafsiri ni nini!!je yeye ndio anatoa order?au hana la kusema?my wory ni kuwa i dont even know if he cares kuona watu wanakufa...
Baada ya kutangazwa baraza la mawaziri leo hii napata maswali mengi kichwani,
JK anataka kuarchive nini?Je yale yote yaliosemwa na wapinzani kayapuuza au!
Kweli kibaya kibaya tu...
Mbona kapatia kwenye wizara ya Ujenzi??kumbe akiamuwa anaweza,so ni kiburi na Ubinafsi wake tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.