Umemaliza mkuu, hiyo biashara ilikuwa ya kimkakati, na wao walitakiwa waende kimkakati. Issue kama hiyo sidhani hata DC ni size yake. Sijamsikia PM wala zagazaga zingine kuongelea... bungeni ndio kabisa wanajadili Simba na Yanga mara mbunge alievaa suruali. Nnjii Hii ni shida kweli kweli
Wapiga kura 28 walipewa karatasi 28 zikiwa na majina 8. Kila mpiga kura alitakiwa aweke TICK ✓ kwenye majina matatu tu. Karatasi zilipokusanywa Nyalandu alikuwa na TICK ✓ 28 Kutoka kwa wote. Lissu alikuwa na TICK ✓ 24 kutoka kwa hao 24 Kati ya 28. Na mwingine jina silijui alikuwa na TICK ✓ 23...
Wapiga kura 28 walipewa karatasi 28 zikiwa na majina 8. Kila mpiga kura alitakiwa aweke TICK ✓ kwenye majina matatu tu. Karatasi zilipokusanywa Nyalandu alikuwa na TICK ✓ 28 Kutoka kwa wote. Lissu alikuwa na TICK ✓ 24 kutoka kwa hao 24 Kati ya 28. Na mwingine jina silijui alikuwa na TICK ✓ 23...
Kwanza hatuna waziri technically, Rais alipovunja bunge mawaziri walipaswa kuwa hawapo. Kwa kuwa huwezi kuwa waziri bila kuwa mbunge. Hizi ndio baadhi ya sheria za kijinga za kuwa na watendaji ambao ni wanasiasa. Mawaziri wasiwe wabunge period.
Acheni ushabiki,
Hizo data zinaweza kupatikana kutoka tume tu. Mtu mwenye access na database amefanya hivi; select;from; group by:katika database ya tume ili aweze kupata waliojiandikisha kupiga kura kawe. Ndio maana hata kama kwa sasa huishi kawe lakini ulijiandikisha katika hilo jimbo utapata...
Sasa ndugu zangu kama kitabu chenu cha dini kinawaruhusu kuanzisha si muanzishe, serikali ina kitabu chake ambacho ni katiba. Kesho mtadai na nyumba zenu za ibada mjengewe. Acheni ujinga kafanyeni kazi. Kazi kuoa wake wengi na kukaa vijiweni. msonyo....
Kwa ufupi tu, ni vitu viwili tofauti, 'discovery' = ni jinsi ya kutambua hayo maradhi mapema kwa kutumia kifaa 'invention' yao. Kwa hiyo wao wamevumbua kifaa ambacho, watu wa maabara (medical) watakitumia kupima hayo maradhi
Ile story ya kwenda Germany nafikiri watu wengi wanaifahamu, hamna mtu anaebisha kuwa Abdulwahid na mchango wake katika harakati hadi uhuru. Isipokuwa nilipomuuliza Ritz swali kuwa ni lini Sykes alikuwa Rais wa TAA hajanijibu ila Kaweka maelezo marefu tu angalia post # 1316. Hivyo kusema baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.