​Hivi wandugu hii nchi inaenda wapi kwanini viongozi wetu wanakurupuka huyu anakuja na kauli hii na mwingine anakuja na kauli nyingine...sasa katibu wa bunge anasema posho hazijaongezwa anakuja spika anasema zimeongezwa sasa nacho jiuliza ni kwamba kweli nchi yetu imefika kiwango hichi...
Kwa huu mfumo wa Serikali yetu kuwapa Wageni kumiliki ardhi nadhani tunaitafuta Zimbabwe mpya kwani kuna siku wananchi sanasana wanafunzi wanaomaliza vyuo na kukosa kazi watakuja kuwatimu hao wageni...lakini pia najiuliza ina maana watz hatuwezi hata kulima mpaka tuwape wageni ..je tunaweza nini...
Ntafurah sana Kama Kyela itakuwa upande wa Malawi kwani Malawi hawana Tatizo la umeme kama huu na hata Viongozi wakituletea longolongo tutakuwa tunaandamana na kudai haki yetu...
DOMINION PETROLEUM LIMITED
(Dominion Petroleum or the Company)
EXTENSION OF BLOCK 7, OFFSHORE TANZANIA
Dominion is pleased to announce that the company has just been granted a 1 year extension to the Initial Exploration Period for its deepwater Block 7 by the United Republic of Tanzanias...
Kwakweli hapo naona kuna changa la macho ..lakini mie sioni ajabu kwani JK na chama chake cha kijani hawana muda kabisa wa kufukiri kuhusu wananchi wa nchi hii na ukiona kuna mradi unafanyika basi ujue tayari percent imepita...
Ndugu Zdaima unaongea vizuri sana lakini kama unakumbuka mwanzoni kabisa wakati mchakato wa kuunda kambi ya Upinzani..CHADEMA waliwaambia CUF kwamba wangependa waungane nao lakini CUF walisema hawakao tayari kuungana mpaka CHADEMA wakubaliane na NCCR-MAGEUZI...na swali linakuja kwa CUF je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.