CHANGAMOTO KWA WAHITIMU
Jina La Chuo:
CHUO CHA MIPANGO DODOMA.
Jina La Kozi:
DEVELOPMENT FINANCE & INVESTMENT PLANNING.
Changamoto
---Chuo hiki ni Chuo Kikongwe sana Tanzania. Lakini Chuo Hiki kina changamoto kubwa sana wa kozi zake katika Mfumo wa uombaji kazi za utumishi wa Umma.
----...
I have two questions about tax audit
1. Stage of conduct tax audit
2. Stage of conduct desk tax audit
Welcome for any one to reply the possible solutions to those two questions
ccm tumeshinda ila dr magufuri uwe makini na utekereze ilani yako maana mwaka 2010, 61% ndio tulipata ushindi ila mwaka 2015 tumeshinda kwa 58% maana tumeshuka sasa tuwe makini sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
magufuri oyeeeeeeeeee, pole wapinzani jaribuni tena 2020, ushauri wa bure kama kweli anataka kuitoa ccm madarakani anzeni kwanza na katiba sasa katiba mmeshindwa, bye bye ukawaaaaaaaaaaaaaa, ccm...
ccm oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, chama tawala tutaongoza milele mpaka siku tuamu kuacha kwa hiyali yetu hakuna serikali ya mseto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.