Kwa hiyo immunity aliyotupa Mungu inatosha kabisa kupambana na corona ila maradhi mengine haitoshi tuendelee kupata chanjo na kumeza dawa kujikinga na kujiponya? Je hawa wanaokufa kwa corona vipi? Mungu hakuwapa immunity?
Vipi kwenda kwenye shopping malls kujipatia mahitaji yake ni kazi ya balozi? Kwani ukienda kusikiliza kesi uko kazini? Ni hakimu na wahudumu wa mahakama ndio wako kazini..mahakama iko wazi kwa watu wengine kuhudhuria kuna kujifunza kupitia kesi mbalimbali zinazoendeshwa.
Ni heri angeishia tu kwenye msimamo wake wa kuikataa chanjo. Lakini kusema viongozi wa serikali wamehongwa ili kuingiza chanjo, wamechanjwa kwa kufake, waliochanjwa watakufa in 2 years, yanaashiria serikali imeazimia kuangamiza raia wake.. Sidhani kama serikali inapaswa kunyamazia haya.
Maelezo ya Sirro ukiyatafsiri tu unajua hakuna kesi. Kulikuwa na sababu gani Sirro kwenda ahead na kutaka kuiaminisha jamii ya watanzania kuwa Mbowe is guilty? Si ndio kazi ya mahakama hii, kusikiliza pande mbili za kesi mshtaki na mshtakiwa na kuamua haki iko wapi? Hivi ni kweli Sirro hajui...
Kwa hiyo Tarehe 1 Serikali inaanza vita na wananchi wake,maana naamini iko dhahiri kwao kuwa watanzania wengi hawafurahishwi na mwenendo wa Serikali hii ya awamu ya tano.na ni dhahiri hata ndani ya chama tawala ni wengi tu wanasemea tumboni hili baya hili hapana hawawezi kuyatoa mdomoni kwa...
Kaka umebadilika sana..si yule aliyekuwa anajenga hoja mathubuti...Mwanakijiji ninayemfahamu mie asingeishia kwenye hiyo sentesi tu..angeendelea kueleza pamoja na hilo kwanini kwa miaka yote wananchi walikuwa wanaona hilo bunge live na ni kwa vipi kuna umuhimu wa wananchi kuendelea kuona bunge...
Za pasaka wanabodi,ningependa kujua kama kuna mwenye experience ya mabati ya dragon kwa uimara na ubora wake..najua kiwandani wanatoa guarantee ya miaka 5 lakini ningependa zaidi kujua kwa wenye experience nayo kwa kipindi kirefu zaidi..
Ndio utaratibu wa kukamata watu wenye makosa bila kuwaeleza makosa yao na kuwapeleka kusikojulikana?vituo vya polisi vina kazi gani?huku ni kukamata au kumteka mtu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.