Search results

  1. K

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Katelelo (kagera) mto ngono (muleba-kagera)
  2. K

    Nassari si chaguo letu..

    Heading!!
  3. K

    Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Nashukuru sana ndugu zangu mlonisaidia. Mungu awabariki.
  4. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Sasa naendelea kupata picha ni kwa nn kada hii (manesi) kwa wanawake huchelewa kuolewa!
  5. K

    Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Jamani mm siyo mtoto kama mnavyodhania, ni mtu mzima kabisa. Niko above 20 yrs. Kama kuna mtu anajua suala langu naomba anisaidie kwa uwazi na si kwa mafumbo na matukano.
  6. K

    Msaada kuhusu bikra ya msichana!

    Mm tangu naanza kuwa na mahusiano sijawahi kukutana na binti bikra. Lakini sasa wakuu naomba kuuliza, imagine unakutana na binti bikra na hamjapanga kupata mtoto, je kuna uwezekano wa kutumia kondomu ili kuzuia mimba? Nauliza hvyo kwa maana kuna mtu aliniambia kuwa bikra ni ngumu sana kuitoa na...
  7. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Mm nadhani ni kwa sababu ya kuokoa muda, anakuwa na uhuru pale anapotoka nyumbani na kwenda kulala huko hospitalini.
  8. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Tuna haja ya kuendelea na uchunguzi na ikiwezekana tuje humu na rank ya kada zinazoongoza kwa usaliti kwenye ndoa. Hii nadhani inaweza kuwafanya kubadili tabia make huyu mama kasema kuwa wengi wao hawa manesi wanapotoka vyuo na kupangiwa pale(kwa wale wanaoanza kazi) huwa ni wapole, wakarimu na...
  9. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Kuna point moja alisema, kwa wale wenye mahawara, akishafika kazini kwenye zile night zao huongea na mlinzi amruhusu hawara yake kwa kumpatia kitu kidogo mlizi. Wapo pia wanaofanya hvyo na madaktari humo humo kwenye vyumba vyao kwa kufanya mpango na manesi wenzao walipo zamu nao.
  10. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Hata mm nilikuwa naamini hvyo lakini alivyosema manesi wote wa pale na ukizingatia ile ni hospitali ya mkoa niliogopa sana. Sikuchelea kuconclude kwamba ni wote! Make kama ni kwa hospital hii kwa nn siyo nyingine? Mmmh kama ni kweli basi hii kada yakuogopwa sana!
  11. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Alafu kingine, kwa uzoefu wangu manasi wengi wanaolewa wakiwa wameshakuwa wakubwa wakati kada nyingine kama walimu unakuta order yake ipo kabla hata ya kumaliza chuo.
  12. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Yawezekana mkuu, make yy nilivyomwangalia ni mtu mzima, kidogo kwa hyo yawezekana ujanani alikuwa kama hao anaowasema na ndo maana hawakemei.
  13. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Ndo maana nimeleta kwenu nilichokisikia, hata mimi niliposikia hvyo nikajiuliza hv kumbe hii kada ndo inaongoza kwa uzinzi. Lakini sikupata jibu ndo maana nimekuja kwenu nipate uhakika.
  14. K

    Mahusiano kulingana na aina ya kazi!

    Wana jf, katika professional za watu na mahusiano nimekutana na kikao cha watu wakijadili hiyo mada. Wanasema kuwa wanawake wanaofanya kazi ya uuguzi(manesi) ni rahisi sana kutoka nje ya ndoa zao kulingana na nature ya kazi yao. Kuna mama mmoja naye ni nesi kwenye hospitali mojawapo ya mkoa hapa...
  15. K

    Msaada plz kuhusu The Guardian ya jana.(12/03/2012)

    Nashukuru sana kwa msaada wenu, lakn kuna kazi ilitangazwa na KCU (Kagera Co-operative Union). Naomba mwenye detail yake kwenye hilo gazeti la the guardian tarehe 12 machi anisaidie.
  16. K

    Msaada plz kuhusu The Guardian ya jana.(12/03/2012)

    Moja kati ya nafac zilizomo ni assistant auditor (11 posts)
  17. K

    Msaada plz kuhusu The Guardian ya jana.(12/03/2012)

    Wanajf habarini za asubuhi. Poleni sana na majukumu. Naomba sana kwa yeyote mwenye gazeti la The Guardian la jana tarehe 12-03-2012 anisaidie kuniwekea humu nafasi za kazi zilizotangazwa humo kwenye gazeti. Naomba sana ndugu zangu mnisaidie. Mimi niko mbali na mji na si rahis kulipata.
  18. K

    Msaada kuhusu CPSP exams!

    Nashukuru kwa kuni-inform wakuu.
  19. K

    Msaada kuhusu CPSP exams!

    Nimejaribu sana lakini kwenye web yao hawajaweka mwisho ni lini. Naomba uhakika zaidi kutoka kwenu wadau.
Back
Top Bottom