Serikali kupitia watumishi wake inawajibu wa kutekeleza ilani ya chama tawala. Msimamizi wa utekelezaji wa ilani ni waziri mkuu. Hivyo, taasisi zote za serika hutakiwa kuwasilisha taarifa za utekelezaji wa ilani ofisi ya waziri mkuu.
Madaraja ya usafiri yako kwa mujibu wa kanuni za kudumu za utumishi wa umma. Wapo watumishi kwa mujibu wa nyadhifa zao wanastahili kusafiri kwa daraja la I,II na III. Kuwazuia watumishi wa wizara yake pekee huku watumishi wa taasisi nyingine za serikali wakiendelea kuponda raha,kwa maoni yangu...
Hoja ya msingi kwa mleta uzi ni kwamba vigezo na masharti havikuzingatiwa katika uteuzi wa Mganga Mkuu wa Mkoa PERIOD. AMO na MD ni kada mbili tofauti. Na ieleweke kwamba Advanced diploma ya clinical medicine ambayo ndiyo wanayo AMOs siyo equivalent na degree ya udaktari.
Kwa madhumuni ya...
Ee Mungu tunakuomba kwa ajili ya rehema kwa uliowaita kwako kupitia ajali hiyo, tunakuomba pia kwa ajili ya afya ya Mh. JS. Kwako wewe yote yawezekana. Amen.
Mbuni hongera kwa kuleta huu umbeya wako, umefanya Rev. Msigwa ajulikane kwa maneno na matendo. Hongera baba mchungaji kazi inaonekana jimboni na kitaifa pia. Wenye wivu.. ...
Mmmh hapa kuna kitu ya kutafakari kwa kina zaidi. Iweje ccm asionekane hata mmoja? Mind u Tanga ndo mkoa pekee ambao hauna mbunge wa upinzani, that means huko ni ccm kwenda mbele. Lakini hata hao cuf waliompokea wanaonekana na nyuso za furaha na wanamshangilia mkulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.