Search results

  1. Lmasesa

    Raha ya mapenzi ni wakati gani?

    Thanx mkubwa. Wabongo hua hatuko "ROMANTIC" na mara nyingi tunachanganya MAPENZI na NGONO. Kama ni ngono raha ufikia kilele pale washiriki wa tendo hilo wanapofikia mwisho wa tendo. Raha ya mapenzi huwa wakati wote mtu awapo na mpenziwe na karaha ya mapenzi huwa pale mtu anapokua mbali na...
  2. Lmasesa

    Hivi ni kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa letu??

    "KILIMO NI UTI WA MGONGO WA TAIFA LETU" Kauli hii nimekua nikiisikia toka naanza kupata akili! Viongozi wetu wamekuwa akiimba wimbo huu unaokifu kwa muda mrefu zaidi ya mno! Lakini cha ajabu hakuna kiongozi anaeonekana kuamini hilo. Kwa kuwa matendo yao hayafanani kabisa na wimbo huo. Hivi kweli...
  3. Lmasesa

    Maendeleo mapya: Mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Uzalendo

    Mkubwa uko sahihi kabisa! Mimi nashangaa kwa nini Vyama pinzani vinashangaa kushindwa kila uchaguzi!!.. Hivi kweli itoke siku Yanga waandae mechi na Simba, halafu uwanja uwe wa Yanga... Refa atafutwe na Yanga... Obvious washabiki watakuwa wa Yanga... Halafu Simba ipate nafasi ya kushinda...
  4. Lmasesa

    Kwanini Sophia Simba madaraka hayo yote na Kiingereza tatizo?

    Na bado!!! Hayo ni ya Musa tu!!! Ya Firauni ndo bado kabisaaaaaaa!......
  5. Lmasesa

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    Wakubwa... hayo ndo matatizo yanayojitokeza mtu akiendekeza uswahiba... Technical know who.. instead of Technical know how.......
  6. Lmasesa

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    :redfaces: SOPHIA SIMBA!!!!.. Again!!!... Too bad to be true!!!....
  7. Lmasesa

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    In deed!
  8. Lmasesa

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    Wizara ya Kilimo mkubwa kachemsha!!!!....
  9. Lmasesa

    Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

    Wizara ya Kilimo wamechemsha!!!.... :redfaces:
  10. Lmasesa

    Hallow every one!

    Hallow every one, Hi great thinkers. Glad to join you brave people.
Back
Top Bottom