Rais amedai Prof; Prof. Muhongo tunamweka kiporo; kuna uchunguzi nimeagiza ufanywe sijapata majibu. Tutafanya maamuzi anytime
Mi sijamuelewa Prof. JK, Prof. Muhongo ni muongo haikuwa na haja ya kumuweka kiporo maana alijaribu kujinasua alipopewa nafasi ya kujitetea bungeni akaishia kusema...
Mi mbona sijaona balaa lolote, pako shwari tu. Polisi wametanda, wapo na gari lao la maji ya kuwashawasha lkn shughuli zinaendelea kama kawaida. Hakuna vurugu labda mleta mada aweke picha zaidi za kuonyesha hilo balaa.
IQ haiambukizwi we "mburura". Unazaliwa nayo na si lazima uende shule. Sema wazungu wanajua kuwaendeleza watu wenye vipaji lkn kama we unavyofikiri. Hao wanaooana wanaume kwa wanaume nao wana IQ kubwa eeeeh! Hivi unajua kama ss waafrica ni gifted, fanya kazi na mzungu atakushangaa, yy anafanya...
Nina wasiwasi na huyu m/kiti aliyetupia kashfa ya kuchafua chama mtandaoni, nadhani ameshavuta kitu kidogo kutoka kwa maccm. Mh. JJ usipoteze muda wako kuendelea kutoa ufafanuzi kwa wanajf, wengi wao ni wale wa buku 7 hawana hoja, wamefilisika kimawazo.
Watanzania tunahitaji maendeleo sio...
Kama sera ya wanachadema ni matusi, maccm sera yao ni ipi? Kwani wengi ni MAFISADI, WAKWARE, WANAOA VIJANA WA KIUME NA MACCM YA KIUME YANABEBA VIBINTI AMBAVYO NI KAMA WAJUKUU ZAO. Sera yenu ni ipi kati ya uchafu nilio orodhesha hapo juu?
Daaaah! Unampinga sana jamaa lkn kitu usichokijua ni kama usiku wa giza. Au kuna kitu unakijua ndio unajitahidi kumpinga mleta mada ili akate tamaa?
Msukuma-shemeji wa Mwema-BOT-EPA.......Endelea kupinga tutatoa vyote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.