waafrika na dini dah......so wao wanoana kabisa sawa kuandamana kupinga...so wanaijua ini sana sio ....shida umasikini sio dini ..umasikini wa maarifa haswa kuliko wa fedha etc ..wanaoandamana hao ....anyway tuache ...ila maaniko yatatimia so kanisa litafika tu kila kitu kitatimia kila kona...
ITV naangalia sababu ya ISIDIMGO sasa UZALO tu......napo wameanza upuuzi wa kubadili badili ratiba .....useless station now......kama sio UZALO sioni cha kimuangalia.....wako na akili ndogo hawana ubunifu
Nimamindi kinoma.....mambo gani kutubadilishia ratiba.....nimekwazika sana yani......wanahamjsha UZALO saa nne na nusu...wanatufanya sisi watoto hatuna ratiba zetu miaka 20 ya ISIDINGO tushaitenga saa moja na nusu sasa mnakuja kuanza UZALO mnaanza kubadili ratiba....
jamaa ni amateur, anatakiwa awe lijendari ...but toolate..why uwe weak why demu akupelekeshe kisa mzuri sijui wa sura na umbo...hao sisi tunawala tuu kibaharia
Na kwa nini ufa utokee...mbona kuna nyumba za miaka wakati tunakua hazijawahi kuwa na nyufa...ndio tatizo la kukwepa gharama za ujenzi na kupata olimradi nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.