msingi wa suala lenyewe la uteuzi linaonekana kabisa kutoka usaoni mwake kuwa lina maana ya kulenga jambo hiki ndo kile tunachokiita homa ya mungano.huwezi kuwa na jamii inayoendesha sheria inazozitambua yenyewe na kuacha zile za nchi nzima swali ni kuwa nani anyoshe kidole,very simple mi kuwa...
mambo ya mkanyiko katika union hayana budy kupata ufumbuzi ila pia sababu sisi ni jamaa moja na tuliingia yamini ya kuwa kitu kimoja ni vyema kuweza kuyapa kipaumbele mambo ya msingi yanayouweka muungana ,ths union ime2pa heshma kimataifa japokuwa ndani shortfalls zipo what is important to...
Eti kuita akina mama beijing inahashiria kuna umoja wa kujadili maslahi ya kina mama,sasa je kina baba wao wanitwaje .....au wao hawana maslahi,au labda tujiite hongkong.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.