Labda sisi ndo hatujapewa uelewa zaidi hasa kuhusu tanzania ya viwanda maana neno kiwanda inamtazamo mpana zaidi mi nazani kiwanda lina maana ya uzalishashaji na zaidi haikuelezewa zaidi ni uzalishaji au kiwanda chenye ukubwa kiasi gani maana ukisema ndani ya muda mfupi kiasi hicho uwe...
Mkuuu nimefuatilia thread zote Na nimeingiza vitu kichwani nilivyokuwa sivifahamu pia naomba unieleweshe kuhusu mnara wa Babel zumuni lake inasemekana ndo chanzo cha luga zilipoanzia je ni kweli Na kama ni hivyo vipi kuhusu hilo ulilosema kuwa walijenga kwa ajili ya kuhofia mafuliko kujitokeza...
Kwa mwenye mtazamo yakinifu ni zahri kabisa kuwa italeta tabu 2020 but wanyama wameshatiwa hofu kiasi kikubwa Na pia dictatorship democracy it's still waving among of us. Pa kukimbilia hakuna so that Sheria wameiweka chini ya nyayo za miguuu yao ,,,,,,,picha acha iendeleee tuuu
Waaafrika walio wengi ni watu wa kuitikia tuuu Na kuabudu iman za wazungu ndo maaana tunapelekwa pelekwa tuuu hata uwezo wa kufikili tunatgemea wazungu waboost pale fikra zilipoishia hatujiwezi kwa chochote
Waaafrika walio wengi ni watu wa kuitikia tuuu Na kuabudu iman za wazungu ndo maaana tunapelekwa pelekwa tuuu hata uwezo wa kufikili tunatgemea wazungu waboost pale fikra zilipoishia hatujiwezi kwa chochote
Tuleteeni mambo yaliyoko jikoni hapa tunasubili kwa hamu kubwa sana.inaweza kufungua mawazo ya walio wengi Na kuwapa mind stability katika kuchukua maamuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.