TRA and FeDex issue at Dar Airport:
Nilikuwa napenda kujua kama kuna mwenye this experience anapotuma mzigo kwenda Dar na kuandikiwa ridiculous tax invoice isiyolingana na thamani ya mzigo? Kuna matukio mawili hivi: Mosi kuna siku nilikuma mzigo una thamani ya $278 na uzito wa 21 pounds...
Hivi Kwanini wanalazimisha kumtumia agent kukutolea mzigo? Kwanini basi wasiruhusu mtu achukue invoice na kwenda mwenyewe Custom za TRA kulipia mzigo wake? Ndugu yangu alipowaambia ataenda mwenyewe, akakataliwa na kuambiwa kwamba mzigo unatolewa na ma-agent tu.
Duh! Sasa kwanini ukitumwa kwa Posta at DHL hizo kodi ulizozitaja haziwagi applicable? Kwa mfano Posta unalipia no more than tsh. 10,000= na DHL unalipia tsh. 2,800/= tu? Ina maana hao Posta na DHL wanakwepa kodi au?
Ndugu wadau wa Ughaibuni na Bongo,
Ni matumaini yangu mpo salama na mna enjoy spring season hasa kwa wale wenzangu tulio kenye ukanda wa baridi.
Nilikuwa napenda kujua kama kuna mwenye this experience anapotuma mzigo kwenda Dar na kuandikiwa ridiculous tax invoice isiyolingana na thamani ya...
Mtoa post kauliza tufanyeje ili kukabiliana na mkwamo huu (matokeo yake); hajauliza tufanyeje ili tusifukuzwe/furushwe na jamaa wa MCC. Suala la uchaguzi Zanzibar na figisu figisu nyingine kwenye umeya, udiwani na ubunge is another topic. Haina uhusiano wowote na post hii. Binafsi sikubaliani na...
Kila mtu kwa nafasi yake (waalimu, wajiriwa serikalini na sekta binafsi, wakulima, wafanyabiashara/wajasiliamali na kadhalika) awajibike kwa kufanya kazi kwa bidii, uadilifu na uaminifu bila ujanja ujanja (Kama vile kukwepa kodi, rushwa, uvivu na kadhalika).
Tuachane na mentality ya kwamba bila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.