Mimi nilikuwepo ila nilikuwa natumia jina tofauti na hili,, hii yote ni kuwa wakati inaanzishwa nilikuwa nyumbani, na the same year nikawa nimekuja huku ughaibuni hivyo ilinibidi nibadilishe kidogo ID ya hapa jamii, where we dare to Talk, and we are still talking openly,, heko Jambo forum now...
Paullih umenikumbusha mbali sana, maana nakumbuka kuvisoma hivyo vitabu vyote ulivyotaja hapo wakati huo nilikuwa shule ya msingi,,, mdingi (marehemu) alikuwa polisi hivyo vitabu vya kipelelezi vilikuwa rundo ndani ya nyumba,
Nasikitika tu kuwa waandishi wa Riwaya za sasa hawana mvuto kama wale...
pole sana usife moyo, kuwa na imani,, hii dunia wote tunapita,
ila mimi makushukuru kwa uamuzi uliochukuwa wa kutotaka kuambiza wengine
ubalikiwe kwa hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.