Ndugu zanguni huu ndio wakati wa kujua nani alikuwa anasubiria Madaraka,na nani alikuwa na nia ya kusaidia Watanzania masikini wanoishi chini ya dola moja mpaka karne hii.Kama kweli yote hayo Mama yetu aliyaona,alichokuwa anasubiri muda wote huo ni nini?KAMA SIO UNAFIKI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.