Search results

  1. W

    Simu iliyopigwa na Prof. Lipumba yawakimbiza Polisi

    simu yenye nguvu za kuweza kuzuia chombo hicho cha dola ndani ya nchi hii...sasa hapo ule usemi wa ; 'wana macho lakini hawaoni, wanamasikio lakini hawasikii' umekuwa dhahiri. Kazi kwenu wana CUF wenzangu, na huo mdundiko wenu.
  2. W

    Unadhani Ujumbe huu wa 'Twitter’ wa Rais Museveni atakuwa anamlenga nani au nchi gani hapa duniani?

    wewe nawe unaiaibisha hiyo nembo yetu ya taifa hapo kwenye 'avatar' yako, weka avatar inayofanana na hiyo kitu ndani ya ubongo wako. Na wewe mleta hoja toa hoja za maana achana na umbea, shit!
  3. W

    Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

    we bwana ni hatari. Umejuaje mission zetu. Mimi ndiye nliongoza hiyo mission. Na nilimtia kovu kwenye makalio. Kama mtu anabisha amwambie amwonyeshe makalio yake ataona kovu
  4. W

    Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

    hallo sikujua kumbe na wewe ni mtunzi mzuri wa tamthilia kama wakina Shigongo. Kaza buti mwanagu na wewe utoe kitabu. Inalipa.
  5. W

    Serikali inunue mabasi na ifute leseni kwa mabasi ya Dar kwenda Mwanza,Arusha,Mbeya,Dodoma,njia hizo Serikali izimiliki, itapata mabilioni

    nafikiri hata lile genge lako la nyanya litaifishwe. Unatunyonya sana wewe. Shit !
  6. W

    Kwanini Prof. Kabudi anapenda kusema " Mimi nisiyestahili" kila mara anapopata uteuzi

    hata imani haitaki mtu anayekiri udhaifu. Kumbuka Mungu aliumba mtu kwa mfano wake, kujiona duni ni kumkufuru Muumba. Lakini ndiyo basi tena, prof. wetu ndiyo kisha pigishwa magoti na "posho" ndiyo maana anaongea kama siye huku vijiweni. AMAKWELI MANENO UUMBA, mzee wetu hastahili kabisa 😢
  7. W

    Lissu usiishie kusoma Ibara ya 18 ya Katiba, Soma na ya 30

    wakati mwingine ni hekima kukaa kimya, kuliko kupayuka na kuonyesha kiwango cha upumbavu (siyo ujinga) ulioujaza moyo wako. Ushauri wangu kwako, achana na majibizano ya Lissu na Kabudi uelewa wako ni mdogo sana hasa kuhusu katiba. Tumia muda wako kusoma ilani ya CCM inaweza kukusaidia kupata...
  8. W

    Edward Lowassa arejea CCM, apokelewa na Uongozi wa juu wa chama

    huyu na swahiba wake si ndiyo mafisadi tunao pambana nao ktk hawamu hii?
  9. W

    U will never walk alone

    Hili nimeliona ni: CDM vs CCM + vibaraka ( CUF & NCCR). Kafulila and Rashidi 'are you serious with destiny of this nation? CDM YOU WILL NEVER WALK ALONE in your fights I am with you.
  10. W

    Jk badili jukwaa bwana!

    Mambo mazito ya kitaifa yaongee kwenye PRESS CONFERENCE, unanipata mkuu, achana na vijukwaa vya wazee wa SISIEM huko ongelea masuala ya propaganda za chama chako, siyo masuala nyeti kama DOWANS, MIGOMO YA WANAFUNZI, MISHAHARA... au mzee unaogopa challenges toka kwa waandishi? Huoni wenzako.
  11. W

    Uhamiaji kwa kufukuta,rais atakiwa kumuondoa mgonja na kuteuwa makamishna kujaza nafa

    Sasa ndg yangu umeanza kutubore,maana inaonesha mna personal conflict na boss wako,sasa hizo issue zenu kutuletea kwenye hii BLOG cc hazituhusu,wewe zungumza issue za kijamii zinazotugusa watu wote bila ya kujali ni kutoka katika Org hipi.
  12. W

    Mrema wa TANROADS ang'olewa rasmi

    Well done mr. beer for padlocking fisadi mrema. Now please 'chungulia kule nyanda za juu kusini' and see what is going on at songwe airport project.
  13. W

    Ninaomba wana jf tuijadili picha hii.

    wanafiki. Hawajui wanachosherehekea. hayo ndiyo matatizo ya wazamiaji, wanatafuta favour ya gov. Iwape posho na sponsorship.
  14. W

    This week in Perspective: Kipindi kinamlenga nani?

    Nimeguswa sana na mtazamo chanya wa proffesor Safari (ktk pindi la this week in perspective) kuhusu tendo la wabunge wa chadema ku-walk out bungeni. Mwanazuoni huyo ameonyesha ku support ushujaa huo wa wabunge wa CDM kwa kutazama dhumuni na si tendo peke yake. Huyu ni tofauti na wengi wasio...
  15. W

    JK na Shahada za heshima

    hakuna cha kushangaza hata makaburi yanapakwa rangi na kupandwa maua pamoja na kuwa ndani imehifadhiwa mifupa ya mfu. Kwa upande wa simba wa vita ni kweli anastahili tuzo hiyo.
  16. W

    Shitambala ajibu agizo la Dr. Slaa

    Shitambala kawa muwazi (transparent) ni vizuri kwa uongozi wa CDM nao ukawa wazi ktk hili.
  17. W

    Nchi haiongozwi kwa lamri

    Mmh!...I doubt if mr. president is real serious. jina kama Hawa Ghasia kuendelea kuwepo kwenye wizara inayosimamia maliasili muhimu kama wafanyakazi ni udhaifu mkubwa kwa aliyemweka hapo. uhusiano wa serikali na wafanyakazi bado ni tete, anahitajika mtu serious na siyo Ghasia ambaye...
  18. W

    Mwitikio wa Baraza, wale waliotemwa na Mengineyo

    Ofcousf ni mvinyo uleule ktk chupa mpya. Hakuna cha kushangaza hapo, huwezi kutegemea machungwa toka kwenye mdimu. Kosa lilifanyika tarehe 31 October kuacha mdimu (ccm) kuendelea kuwepo.
  19. W

    Leo ni siku ya kulia na kusaga meno kwa wanamtandao maslahi

    too much rumous and speculations. Lowasa! My god, who is he. Let the guy alone...
Back
Top Bottom