ni kweli wengi wanao coment hawajawahi shika hiz promax au pro, siku wakimiliki hawatataka kurudi android, hizi simu ni dunia nyingine, na iphone sio ya kila mtu ina class zake
sio kweli mkuu tuna iphones na hatupat shida ya kupakua video youtube insta na mtandao wowote unaoujua , ambaye hawes pakua ni mgeni wa simu, huitaji kua na app kupakua , mf ukifungua site inaitwa savefromnet, unapaste link yoyote yenye video inapakua hii ni kote ios na android
iphone upande wa picha nawakubali sana camera zao yani point and shoot yani humiss kitu hicho ndio kimewaahinda samsung samsung inahitaj utulize mkono hata baada ya kupiga , kwa moving object iphon wamewaacha andeoid mbal na uzoef na hiz sim kwa sasa namilik hiz iphone 11 na note 9 naona...
acha ubishi, mi natumia note 9 mwaka wa pili huu na hio function ipo unapiiga picha ina extract maandishi pia inaweza kutafsiri kwenda lugha utakayochagua. hii function ya kuextract word toka kwa picha ipo kwa android long tu
uwongo mkubwa usipotoshe vijana, huwez soma post grad ya famasi kama huna degree ya famasi, tanzania ya sasa ajira serikarin ni ngumu, soma kozi unayopenda na unaweza hudumia, famasi ni rahisi kujiajiri ukiwezeshwa kidogo. na hizi kozi mbili zinategemeana
body wanatakiwa wataarifu utumishi warekebishe madeni kwenye salary slip sababu hizi slip tunazitumia bank na maeneo mengine kama kupata mikopo ya maendeleo nk., pia unaweza wauzia bank huo mkopo mf mimi slip inaonyesha nadaiwa 16.7m , board statement baada ya kuondoa tozo zao nadaiwa 8.5m, hii...
nimependa hii discussion, natumia note 9 samsung mwaka sasa , nimekua mtumiaji wa samsung kwa mda mrefu na huawei, nahitaji kwenda iphone 11 au 12, mnaonaje hizi simu, hii note 9 kwa sasa naweza uza bei gani kama used
nimepata nafasi ya training asia leo nahitajika kutuma passport namba kabla ya trh 13 mwezi huu wa sita. aliefanikiwa kupata passport ndani ya siku mbili anipe mwongozo plz
nimepata nafasi ya training asia leo nahitajika kutuma passport namba kabla ya trh 13 mwezi huu wa sita. aliefanikiwa kupata passport ndani ya siku mbili anipe mwongozo plz
Duh kijana una upeo mdogo sana mtu asome siku 35 aitwe mfamasia. Tembelea ukurasa wangu wa insta uone kazi ndigo sana nayofanya kama mfamasia. Kisha mlete huyo wa siku 35 au wa maabara atest zar. Huyo dogo kama kafaulu vizur asome coz anayopenda kuajiliwa si wakat wa hii awamu ya kazi tu...
kwa dsm gari si anasa ni hitaji la lazima hasa kama unakaa nje ya mji au una mizunguko mingi, so unaweza pata hilo gari kwa mkopo au vyovyote, ushauri wangu kama umeajiliwa na umejiunga na mifuko ya jamii eg pspf nssf etc kopa huko riba zao ni 10% kwa mda wa miaka 2 hadi 5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.