hii ilikuwa ni kama vita, sasa walichofanya wao, ni kutuliza raia wasifanye fujo na hatimae vita alafu watumie njia za kidiplomasia kutafuta ufumbuzi. hawakushindwa kuwaambia watu fanyeni yenu mziki uwe mnene. pamoja na nec kuwadhalilisha still waliwaambia wafuasi wao wadumishe amani. ingekuwa...
yani kile kizee kikiongea nakiona mwana mazingaombwe fulani ivi. kinatumiwa matokeo yaliyochakachuliwa na kenyewe kanasoma tu kama likondoo halitaki kujua kama ni halisi au sio, kinakomaa tu kusema yametoka jimboni wakati yametoka hapo mlimani city. mi kusema kweli nataka obama aje...
yani kile kizee kikiongea nakiona mwana mazingaombwe fulani ivi. kinatumiwa matokeo yaliyochakachuliwa na kenyewe kanasoma tu kama likondoo halitaki kujua kama ni halisi au sio, kinakomaa tu kusema yametoka jimboni wakati yametoka hapo mlimani city. mi kusema kweli nataka obama aje...
maneno kama haya yako yanaweza yakaleta machafuko makubwa mno, epuka maneno yanatowatia watu hasira wakati tayari wana jazba, ni kama ile siku umefiwa na mamako alafu ukakutana na mtu akakutukana apo apo ''**** la mama ako, hunifanyi lolote''. mtu kama huyo unamfanyaje??? angalia kwanza...
Haswaa. waongelee na yanaoendelea huku bara pia maana lubuva hatumuelewi, anafanya figisu figisu. yani akiongea namuona kama kizee flani hivi mwana mazingaombwe vile!
MATOKEO YA NEC YANA KASORO NYINGI.!
Jana nilisema nitatoa screnario tano kudhibitisha kuwa matokeo yanayoendelea kutangazwa na Tume si ya kweli na yanafaa kupuuzwa na kila mtu mwenye akili timamu. Licha ya Tume ya uchaguzi kutokua huru lakini imeamua kushirikiana na CCM kupuuza maoni ya...
MATOKEO YA NEC YANA KASORO NYINGI.!
Jana nilisema nitatoa screnario tano kudhibitisha kuwa matokeo yanayoendelea kutangazwa na Tume si ya kweli na yanafaa kupuuzwa na kila mtu mwenye akili timamu. Licha ya Tume ya uchaguzi kutokua huru lakini imeamua kushirikiana na CCM kupuuza maoni ya...
MATOKEO YA NEC YANA KASORO NYINGI.!
Jana nilisema nitatoa screnario tano kudhibitisha kuwa matokeo yanayoendelea kutangazwa na Tume si ya kweli na yanafaa kupuuzwa na kila mtu mwenye akili timamu. Licha ya Tume ya uchaguzi kutokua huru lakini imeamua kushirikiana na CCM kupuuza maoni ya...
MATOKEO YA NEC YANA KASORO NYINGI.!
Jana nilisema nitatoa screnario tano kudhibitisha kuwa matokeo yanayoendelea kutangazwa na Tume si ya kweli na yanafaa kupuuzwa na kila mtu mwenye akili timamu. Licha ya Tume ya uchaguzi kutokua huru lakini imeamua kushirikiana na CCM kupuuza maoni ya...
The history of man is defined by war, and war by the man who fight it.
Hakuna nchi imewahi kuongozwa kwa haki bila kutumia nguvu kulazimisha haki.
Taifa letu halina viongozi, lina watawala.
uongo siku zote unajitenga na ukweli.
kuhubiri amani na kuwa na amani ni vitu viwili tofauti.
Tanzania...
we vipi wewe, kura ndio kwanza zimefika milioni 3. wapiga kura watafiika milioni 20. bado sana, sasa wako jimbo la 84 kati ya 264, na hizo walizoongoza ni ngome za ccm, hawajatugusa bado sehemu yoyote zaidi ya monduli na arusha.
ndio kwanza yametajwa majimbo 63 kati ya 264, kati ya hayo hakuna ngome ya ukawa iliyotajya. ni zile tu ambazo zilikuwa za ccm lakini lowassa kajitahidi kupita nayo. hizo kura laki wanazoongoza nazo jimbo moja tu la kaskazini linatosha kusawazisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.