jamani wana jf naombeni mnisaidie maana mm nina msichana nampenda na natamani aje awe mke wangu. kusema kweli nampenda nae ananipenda pia ila yeye kanipita na miaka kama 2. nilikuwa naombeni ushauri wenu kama nikijamuoa kutakuwa na tatizo.
mm naomba ufafanuzi zaidi maana mamaa yy anaumwa sana na huwa hata kama akitumia dawa za kutuliza maumivu kama Diclophenac anasema ni kama hazimsaidii kabisa. so anabaki kuyasikilizia maumivu hadi atakapotulia. naombeni msaada kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.