Hi fellows,
PLEASE GET A LITTLE PATRIOTIC AND VOTE FOR TANZANIAS BEAUTIFUL MT.KILIMANJARO V/S THE UNKNOWN TABLE MOUNTAININ SOUTH AFRICATO BE AMONG THE NEW 7 WONDERS OF THE WORLD.
SURVEY SHOWS THATNON-TANZANIANS VOTE FOR IT THAN WE DO. PLEASE LETS FIGHT FOR THIS CHANCE.PLEASE INFORM AS MORE...
Nimefanya yote kama mlivyonielekeza, ila zile security questions na alternative email nimezisahau kwani nilifunguliwa na mtu toka 2004.
anyone with more alternative to restore my email account, it is very important to me, thank you in advance.
Wataalamu,
E-mail yangu ya yahoo imekuwa compromised, na ina information na data zangu za muhimu sana, siwezi kuiaccess tena. naombeni msaada wenu jamani
Baadhi ya maswali yaliyoulizwa na wadau kuhusu ugonjwa huu
Wataalamu poleni na majukumu ya kuhudumia afya zetu,
Mimi nina tatizo la ugonjwa wa Vitiligo, lips ya chini imebadilika colour na nyekundu kama nakunywa pombe kali, na kichwani nimetokewa alama nyeupe kama kishilingi, na shingoni nina...
Lakini wakati inajengwa magufuli hakuwa waziri wa ujenzi, walikuwa kawambwa na mramba na KM alikuwa omari nundu, magufuli kafunika kombe kama kawaida ya serikali kulindana
MAJIBU YA MAWAZIRI WA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TNZANIA DHIDI YA KERO ZA WANANCHI
Swali alilouliza mbunge ni kweli lipo na serikali ina taarifa nalo
Suala hili ni nyeti na hasa kwa usalama wa nchi yetu
Hata hivyo katika ziara yake Mh. Rais ameonana na wafadhili na kufanya nao...
MAJIBU YA MAWAZIRI WA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TNZANIA DHIDI YA KERO ZA WANANCHI
Swali alilouliza mbunge ni kweli lipo na serikali ina taarifa nalo
Suala hili ni nyeti na hasa kwa usalama wa nchi yetu
Hata hivyo katika ziara yake Mh. Rais ameonana na wafadhili na kufanya nao...
WHY AFRICA IS 25 YEARS BEHIND THE DEVELOPED WORLD?
AFRICAN LEADERS
Abdoulaye Wade (Senegal)- age 83
Hosni Mubarak (Egypt) - age 82
Robert Mugabe (Zimbabwe) - age 86
Hifikepunye Pohamba (Namibia) - age 74
Rupiah Banda (Zambia) - age 73
Mwai Kibaki (Kenya) - age 71
Ellen Johnson Sirleaf...
MWANZO WA MWISHO WA MICHANGO MIKUBWA YA SHEREHE
Nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango kupanuka kiasi kwamba sasa hata mtu ambaye jina lako halijui vizuri anaweza kukuomba mchango...
Katika dawa sio kuanzia noti mpya,
ila kuna haja ya benki zetu kuongeza muda wa kufanya kazi. kwa mfano benki inakuwa wazi hadi saa tano usiku ambapo utapata huduma zote za kibenki. pia benki zetu kufanya kazi muda kwenye siku za jumamosi na jumapili. Maana benki zingine zinafungwa saa tisa...
NIMEVUTIWA na kauli aliyoitoa Waziri wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta Waziri wa Afrika Mashariki ambaye mwanzoni mwa wiki hii aliripotiwa akisema kuwa kuilipa fidia ya Sh 185 bilioni kampuni ya Dowans ni kuhujumu uchumi wa nchi.
Ingawa kauli hiyo imepokewa kwa hisia tofauti lakini binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.