Wasomi wenyewe wanahofu na matumizi ya taaluma zao. Theatre na performing Arts...ni nzuri sana hasa kwa wale wanaoiona kwa jicho mbadala. Mfano Arts Directors wengi duniani wamesoma "Performimg Arts, Theatres and Set Designs" kwakuwa zinahusiana. Hapa kwetu unakuta kwenye kazi za sanaa mfano...
Lugha yoyote duniani unaweza ijua kwa njia kuu zifuatazo; Kusoma,Kusikiliza kuandika na Kuzungumza.Hii huwa rahisi zaidi baada ya kujua zile 'basics' za lugha husika. Lazima usiwe muoga kuzungumza ili kuweza kujua usahihi wa namna maneno yanavyotamkwa...maana katika kuzungumza utaweza rekebishwa...
Njia rahisi yakupungua ni kuepeka kula vyakula vyenye fats, Carbohydrate na sugar... kuna diet ya chakula ambayo inafanya kazi sana ya fruits tu.... for weeks... maji ya mdalasini, matango yaliyoloekwa kwenye maji, green corns, nyama hairuhusiwi... ni diet ya some weeks inakata weight sana...
Nadhani suala la wao wanapatia/watapatia wapi si jukumu lake,watakao amua kuwekeza katika sekta hiyo watajua watakapopatia pesa hiyo, kimsingi alikosea kukejeli wazawa kwakuwa yeye aliona 'mtaji' kwa mtazamo wake haupatikani...yeye kuona haiwezekani,si kwa wote ati.......Alikosea Mhe. Waziri na...
Wanajamii, katika pita pita zangu za kutafuta teknolojia ya kisasa ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu,nimekutana na hiyo teknolojia....iangalie,inaonekana ni nafuu....
Kitu muhimu kwa sasa hakikisha kuwa supplier unaye deal naye ni wa uhakika kwakuwa kumekuwa na matapeli sana china katika online business, search jina la hiyoo kampuni katika scammers/google kama iliwahi kulalamikiwa utaona...kitu kingine ni namna ya kulipa,unaweza tumia Western Union, TT,Pay...
Kigwangalla mbunge kijana ambaye huwa simwelewi kutokana na namna anavyo 'act' huwa nakosa jibu kwakuwa huwa sielewi anakuwa 'drived' na itikadi au nini!.Niliwahi kuona post yake katika facebook aliandika...anashangaa watu wanaposema nchi hii masikini wakati alipotoka kuangalia movie na familia...
Katika vitu vigumu vinavyowakabili viongozi wengi ni kushindwa kuwa na 'akili za kidemokrasia' wanataka kusujudiwa,kuambiwa vitu tofauti na mitazamo yao ni uadui mkubwa......Chama chochote kinachotawala katika nchi yoyote kinaweza kuangushwa kama kitaonekana kinapuuza hoja za msingi na kutumia...
Kiongozi makini yu tayari kusikia asichotaka kusikia,uvumilia sana na kutumia busara zaidi kuliko mamlaka yake kuongoza.....kuna kazi kubwa sana ya kupata viongozi bora na sahihi...binafsi namwona Ndugai kukosa sifa za kuwa kiongozi mwenye kuweza kuunganisha makundi yenye mtazamo tofauti bali ni...
Inawezekana Polisi wanapewa bajeti ya kutosha kushughulika na siasa zaidi kuliko ulinzi wa raia na uboreshaji wa mazingira yao ya kazi...tunakazi kubwa sana hakika kuijenga Tanzania tuitakayo!
Msanii, Napata mashaka kama uwep wa sheria ya hati miliki umewafaidisha sana wasanii maana wanalia mno kuhusu kuibiwa kazi zao,hii inadhihirisha kuna walakini....kwa upande wa stika katika kazi za sanaa naona sekta italasimishwa kwa upande wa serikali kwa kuwa naona stika hizo zitauzwa kama...
Naomba kufahamishwa zaidi,wasanii ndiyo walipambana kuleta sheria ya hati miliki peke yao ama? Pia uwepo wa sheria ya hati miliki,wasanii wamefaidika kwa kiwango gani tofauti na wakati haikuwepo?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Unaweza kutumia tovuti ya Bunge pia kama unaweza nenda ofisi yake pale Exim Tower sikumbuki floor ipi,ila utaweka naye appointment.
Kila la heri.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Salaam,
Kigwangala ameleta Maswali mengi bila Majibu;
Nilitegemea mambo aliyosema yangejibu maswali yafuatayo;
1. Utaratibu gani wasioujua hao anaowasema?
2. Pili hiyo interest ya fixed account ni tshs ngapi?
3. Maendeleo aliyoyapeleka Nzega ni yapi?Ambayo yanatokana na nguvu yake ya ziada...
Salaam,
Nimesoma kwa kina na kuelewa kilichoandikwa.
Nawezaje kuthibitisha "Legality" ya hiyo firm yenu.Nitashukuru nikipata namna ya kuverify hiyo kwakuwa kwa kufanya hivyo kutaweka uhakika wa mtu kuamua kutumia huduma hiyo.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mtoa mada anadhani kufutwa CHaDEMa ndiyo solution ya 'kuwapa amani wanaCCM Bungeni'
Mtoa mada anadhani tatizo ni CHADEMA,tatizo si Chadema bali "Mchwa wanayoiguguna nchi",tatizo ni watu wanaopindisha sheria kwa maslahi yao,tatizo ni mazoea ya kuongoza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.