Ule mhimili wenye mzizi mrefu ukiondoka makamu anatakeover. Huu mhimili wa wananchi sijui labda na wenyewe makamu anatakeover. Nawaza tu mie sio mjuzi. Haya mambo ni kwa zamu. Lisu yeye yupo pale pale. Lema njoo tuwambie zamu ya nani inafuata.
Hongera kwa kutushukuru Watanzania kwa ushirikiano tulokupa, umesahau kitu kimoja ni KUTUOMBA MSAMAHA KWA ULIYOTUKOSEA kwa kutumia madaraka yako. Huo ndio uungwana, ni hayo tu Mheshimiwa.
What goes around comes around. Lisu naye Alisema wakitumaliza sisi itafuata zamu yao. Wahenga nao Ukila nyama ya binadamu huwezi wacha. Hata kama jobo anahoja kwenye hili ndio muda wa kulipia aliyotenda bungeni. Mungu hajawahi kulala ataendelea kutulipia hapa hapa mpk wasiojulikana pia.
Kuzaliwa kwa kundi la wasiojulikana ktk taifa ni aibu kuu kwa taifa letu. Kupotea kwa watu mchana kweupe na viongozi wa kitaif kubeza kupotea huko haikuwa hali ya kawaida
Katiba mpya haikwepek taifa lime pita ktk kipindi kigumu sana. Wtu wa aina hiyo hutokea mara kwa mara na huja kulipa visasi kwa wanaoamini walichangia maumivu yao au wapendwa wao.
Kisheria ina maana kubwa sana. Ni kesi nyeti hivyo inahitaji uchunguzi makini toka kwa watu makini. Neno moja linaweza umiza mtu au kuleta maana tofauti ktk report. Hivyo wakili anajaribu kuonyesha mapungufu ya ripoti na muhusika pia ili kuipunguzia credibility ya report husika .
Ni bahati mbaya sana awamu hii nchi yetu neno UGAIDI tunalitumia kwa urahisi sana ilihari kwingineko duniani likitajwa nchi zinasimama kwa taharuki. Tukio la Hamza mi bado nilipima kama uhalifu mwingine unaoweza kuwa umesababishwa na visa, msongo wa mawazo au tatizo la kiafya. Kumbuka hata...
Lakini pia kumbuka na mwalimu wa darasa la AWALI na la KWANZA wanaofundisha KKK(kusoma, kuhesabu na kuandika). Usisahau madarasa yale watoto wengine hawajajitambua wanajisaidia humo humo. Huyu mwalimu huyu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.