Kweli bei ya vitu Ngugu ya imepanda sana
mimi sijaelewa inaposemwa uchumi umekuwa ili hali ninaona mshahara wangu unapua purcharsing power siku hadi siku
Kuna kitu kinatakiwa kifanyiki kuhusu hili , wale wataalamu wa chumi hapa jamvini ,tunaomba analysisi zenu
Hi Omary
Heshima Mbele Mkuu
Mimi nionavyo , ile ilikuwa best way kuonyesha Dunia kwamba " katika uchaguzi uliopita kulikuwa na uchakachuaji mkubwa"
kwani altenative zingine zingekuwa zipi ? ebu tuzichambue chache hapa chini
1 kutoingia bungeni siku hiyo , = Jumuiya ya kimataifa isingejua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.