Hayafai hata kumpa mgonjwa maana ataweza kufa kwa hayo matunda. Matunda yapo ila wanayatumia wachache. Utaambulia makapi ya hayo matunda ambayo huwezi kupata juice labda ulambe tuuuu
Hivi huyo mmoja aliyekuacha baada ya kuchacha ndo unafananisha na wengine?????? Wamarangu nawafahamu kuliko wewe, sio wote wenye tabia hiyo, fanya uchunguzi wako vizuri ila nakupa pole kwa yaliyokukuta KALUBANDIKA:shock::A S embarassed::embarrassed:
Nakuunga mkono Kiboje, wabadili msemo, wamachame wanapenda mali kuliko uhai wa mtu, U44444 ni Machame moja alidhulumu mali na huyu Munisi kadhulumiwa....... machame ni watu wa kukaa nao mbali sana, na wanapenda kutawala mali wasizozitokea jasho, kumuua mtu au kumtoa mtu ndani ya nyumba yake ni...
Daaaah is true, kwa upende wa mwanamke inauma sana ila akishaikubali hali mmmmhhhh! you won't believe ni full shangweeee!! kama mlivyoona kwenye picha! englibertm uko sahihi kabisa​:amen:
Daaah hii nimeipenda sana, MAPENZI YAHASHIKILIWI KWA PLASTA, King'asti hili nalo neno! Maana plasta huwa inaishaga nguvu na huchakaa so haina budi kuachia. hahahhaahah!
Jamani, tumshukuru sana Mungu kwa uumbaji wake, hakuna anayependa kuzaliwa hivyo, yote ni uumbaji wa Mungu, sura sio chochote kinachohitajika ni tabia njema na hofu ya Mungu tuu! Acha kumkosoa Mungu kwa uumbaji wake!
MMmmmh hauko mbali na ukweli ndugu yangu, waswahili wanasema samaki mkunje angali mbich, inaelekea JK kweli alikuwa mzururaji thehehehehehehehehehe! hauko mbali na ukweli.
Huyu aliyekuambia jiandae ku R.I.P hajakosea kabisaaaa! wanawake wanaotoka huko machame ni WATATA BALAA!! Hata wanaume wa Machame wanaogopa kuoa kwao!! Na tena una biashara zako binafsi na ajira tu!!! Huyo utadumu nae kwa few years then uta-R.I.P unamwacha anakula bata!!! Stay away from her, she...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.