Sio kazi ya CDM kuwaondoa, kazi ya CDM ni kuwaambia watawala hao ni wahuni, afu watawala wataamua wenyewe.
Kwa katiba yetu hii wote tunajua wataachia ubunge bunge likivunjwa. Na ndiyo maana watawala wanaipemda sana katiba yetu ya hii.
Ni kweli alikuwa nabii, maana chini ya utawala wake watu wengi hasa wenye mawazo na maono tofauti ya yeye walipotea, waliuawa, kufungwa, kupigwa na kupewa vilema vya maisha na wengine kufilisiwa mali zao.
Yes, jamaa alikiwa nabii.
We si kashakuzalia mtoto sasa tabu nn ndug? Mizagamuo ya kila siku haijengi - mpe nafasi akupe siku anajiskia - binadamu hatuko sawa wote kimaumbile, wengine sex si priority.
Wale Covid 19 naona ni mwemdo wa sura za unyonge - Je wabakie CCM ama waende kwa Zitto.
Hongera Bawacha - nyie ndiyo wawakikishi halisi wa changamoto za wanawake wote wa Tanzania.
Hamna chama humo ni majungu tele acha kupotosha watu.
Sema maza hse kaamua kumpa ka kazi hako na kama angekataa basi wangemshughulikia kikamilifu - kwani sisi wananchi hatujui.
Yaani CCM bana, mtu anayetongoza wake wa watu kwa kutumia madaraka yake unampa tena li cheo likubwa la utendaji mkuu hapo mkoani, si atatumalizia wake zetu wajemeni - ndugu Rais ni vipi haya mambo
Tunatumia lugha ya kiingeleza toka kidato cha kwanza hadi vyuo vikuu na vingine vya kawaida.
Haiwezekani wewe utumie lugha hii miaka zaidi ya 9 hadi 10 afu ushindwe hata kujieleza kwa mtiririko mzuri.
Hapo kutakuwa na tatizo sehemu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.