JF idumu!
Hata mimi mkuu nilishaweka mawazo ya kwenda show room. Ila kwa michango ya wadau humu ni bora kuvuta subira kuagiza tu kama nitalazimika kusubiri wiki nne. Maana wanasema haraka haraka haina baraka na subira yavuta heri.
Asante kwa mchango wako. Ukisema uagize unachukua muda gani kutoka kuagiza hadi gari kuwa cleared bandarini assume kuwa hela ya kulipia gharama zote ipo
Hilo la kubadilisha vipuli nimewahi lisikia. Je naweza jua ni show room zipi ni waaminifu kwa miji ya Arusha na Dar?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba kufahamishwa hasara/faida za kununua used car show room ukilinganisha na kuagiza toka Japan. Mfano kwa spacio new model cc 1500.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mchungaji hapo mafinga anaitwa Mchungaji Chuma wa TAG. Kanisa lake liko kule chini karibu na kanisa la Lutheran mtafute huyo. Nyumbani kwake ni kwe ile nyumba ya mbunge wa zamani Malangalila
SM: kwenye reporti ya CAG jina langu halimo, mkienda kwenye wale waliogawaiwa hela la ESCROW mimi jina langu halimo, mkienda kwa wale walioitwa kwenye tume ya maadili jina langu halipo
Swali: Uchumi wa sasa hauko kwenye mikono ya watanzania, je unahakikishaje kuwa uchumi ujao utakuwa mikononi mwa watanzania?
JIBU: anasema 10% ya mapato ya gesi utawakopesha wananci na wafanyakazi, wakulima na wafanya biashara wadogowadogo
SM: naomba ridhaa yenu ili kuhakikisha tanzania ijayo inakuwa na vijana wa sayansi, umeme 75% na kuboresha kilimo na wafugaji
Tatizo la wakulima na wafugaji na wakulima ni technologia sio ardhi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.