Ila sasa kama lengo lako ni kiwanja tu! Kwa pesa hiyo naweza kukupatia ekari mbili ni mahali ambapo kuna Maji na umeme na Barabara kubwa ya EA inayojengwa lakini pia Old Moshi Rd na Reli! Ni 17 km toka mjini karibu na USA, Tengeru na Mandela university kuko vyema kwa kweli mie mwenyewe nina...
Mkuu ndio maana nimekwambia tufanye mawasiliano kwa kutumia WhatsApp namba yangu ni 0786262635! Najaribu tena hapa kuweka picha kama nitafanikiwa, Bado inagoma kuweka picha
ANyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50 o.n.o./Maongezi yapo picha humu...
Nyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50 o.n.o./Maongezi yapo
Mkuu hii kama itakupendeza twende kazi. Nyumba ni Unfinished house iko Njiro Corona Block J,karibu na Chuo cha Veta na Atomic. Nyumba ipo kwenye kiwanja cha 25 x 25 Nyumba ni kubwa, ina vyumba vitatu, viwili ni master, ina study room na vingine. Hakuna hati ila kina offer number. Inauzwa mil 50...
“14.5 ACRES OF LAND FOR SALE AT KING’ORI”
Dear all“!
14.5 Acres of land for sale at King'ori, EPZ area close to Gypsum industry, Price per Acre is 35m ono.
The Land is 500 Mts from the main road and 45 Kms from Arusha. The land is accessible by road and very fertile.
No title...
Dear all!
14.5 Acres of land for sale at King'ori, EPZ area close to Gypsum industry, Price per Acre is 35m ono.
The Land is 500 Mts from the main road and 45 Kms from Arusha. The land is accessible by road and very fertile.
No title deed but Suitable for various purposes including Hotel, it...
Wanajamvi naomba ushauri wenu! Nina rejesho la mkopo ACB ambalo toka awali nikipewa mkopo nilishtuka kuwa itakuwa shida, ikanipasa kuchukua kwani nililazimika kwani muda wote wa miezi 4 nafuatilia mkopo nilijua ni kama nilivyoomba kwamba nirudishe kwa miaka 2. Mpaka siku naitwa kwenda kuchukua...
Wanajamvi naomba ushauri wenu! Nina rejesho la mkopo ACB ambalo toka awali nikipewa mkopo nilishtuka kuwa itakuwa shida, ikanipasa kuchukua kwani nililazimika kwani muda wote wa miezi 4 nafuatilia mkopo nilijua ni kama nilivyoomba kwamba nirudishe kwa miaka 2. Mpaka siku naitwa kwenda kuchukua...
Wakuu bada haijakaa vizuri! Sasa nimeamua kuu Ekari 1 kwa bei poa kabisa ya 10m tu. Wahenga walisema kimfaacho mtu chake!
Shamba lipo eneo zuri linalokua kwa haraka takriban kilometa 1.7 toka Mandela University. Kumbe shamba lipo mkabala na Chuo cha Mandela, Hort Tengeru, Usa river, barabara...
This is a fast developing area for residential and investments purposes. Its along the road to Merelani after leaving Old Moshi road and across railway at the first location of wooden electricity poles where you turn right 300 Mts from the road.
The land borders the surveyed East African road...
Guys Nawashukuru nyote kwa Ushauri! Hakika awamu kwa awamu nitatekeleza mengi ya ushauri wenu. Ningependa kunetwork na wengine wenye biashara kama yangu niweze kujifunza zaidi! Capt Tamar ulipita? mbona hukunitafuta? ulizia Mapunda. Ladyfurahia ningependa kukutembelea nione uniform, n.k. Duly...
Dada yangu, Kisalasala Dar es salaam anatafuta soko la mayai na vifaranga vya ndege hao, kwa mayai tray ni 20,000.00 sijajua upande wa vifaranga. Tafadhari 0786262635
Washikaji, Mie na jamaangu tumeanzisha Pub hapa Arusha Tumeiita Le Tshentemba Pub sasa tuna siku 10 toka tuanze. Hii ipo Nairobi Rd karibu na Police post na ofisi ya mtendaji kata mkabala na Manyara guest house, inatazamana na Nat Oil Petrol station. Biashara ni ya wastani tu. Tatizo langu bado...
Washikaji, nipo Arusha baada ya kusoma soma humu kwa forum nilianza ufugaji wa kuku aina ya Malawi sasa natafuta soko. wapi soko la mayai lakini pia nataka punguza jogoo ni wengi. Lakini pia bei zikoje kwa mayai na jogoo?
0786262635
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.