nawashukuru ndugu zangu imetokea tu bahati mbaya maana sikuwa na nia hii ya kuwazaa kwa ukaribu na nilifuata kalenda vizuri sijui hata nini kimetokea nawashukuru kwa ushauri wenu mbalikiwe lkn bado nakaribisha ushauri zaidi
Ndugu zanguni wana jukwaa poleni na mishughuliko ya mwanzo wa mwaka na hongereni kwa kuumaliza mwaka. Ndugu zanguni naomba ushauri, mtoto ana miezi tisa na mama ni mjamzito tena, je nifanyaje? mtoto akiachishwa kunyonya haitomuathiri kiakili na ukuaji? natanguliza shukrani zangu za dhati ndugu zangu
mbona hazungumzii uhamisho uliosimamishwa? kuna matatizo yashughulikiwe kituoni je matatizo kama maradhi yatashughulikiwa kituoni? toeni nyongeza ya mshahara na majibu juu ya watumishi walioomba uhamisho tokea mwaka jana uwe na utu we mama
ukweli ni kwamba nimechoka sana kusubiri, nmepata mtu wa kubadilishana nae na taratibu zote tulifanya, jamani mpaka sasa mwaka umepita hakuna linaloendelea mbaya zaidi hakuna taarifa inyotolewa tujue kweli inaumiza sana
Nawashukuru sana ndugu zangu nmepata elimu ya kutosha na naamini naendelea na ntaendelea kupata elimu zaidi na zaidi, hili la kunyonyesa na kumcheulisha mtoto nadhani ndipo lilipokuwepo tatizo ntajitahidi kumwelekeza mama mtoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.