Search results

  1. M

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    tuwe na subira ndugu mikoa mingi bado
  2. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    shukrani ndugu
  3. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    bari barikiwa ndugu yangu nimekuelewa
  4. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    al alizaa kwa njia ya kawaida tu
  5. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    ndio ndugu mimi ndiye muhusika
  6. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    nawashukuru ndugu zangu imetokea tu bahati mbaya maana sikuwa na nia hii ya kuwazaa kwa ukaribu na nilifuata kalenda vizuri sijui hata nini kimetokea nawashukuru kwa ushauri wenu mbalikiwe lkn bado nakaribisha ushauri zaidi
  7. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    naombeni msaada ndugu zanguni
  8. M

    msaada: afanyaje mtu huyu?

    Ndugu zanguni wana jukwaa poleni na mishughuliko ya mwanzo wa mwaka na hongereni kwa kuumaliza mwaka. Ndugu zanguni naomba ushauri, mtoto ana miezi tisa na mama ni mjamzito tena, je nifanyaje? mtoto akiachishwa kunyonya haitomuathiri kiakili na ukuaji? natanguliza shukrani zangu za dhati ndugu zangu
  9. M

    Napenda kufahamu mtoto wa anakiwa ale chakula cha aina gani?

    Ndugu zanguni naomba msaada wa miezi sita ni vyakula gani anatakiwa ale ili aweze kukua vizuri kimwili na akili. Natanguliza shukrani ndugu zangu
  10. M

    Kairuki: Uhamisho wa watumishi wa umma uzingatie vigezo

    mbona hazungumzii uhamisho uliosimamishwa? kuna matatizo yashughulikiwe kituoni je matatizo kama maradhi yatashughulikiwa kituoni? toeni nyongeza ya mshahara na majibu juu ya watumishi walioomba uhamisho tokea mwaka jana uwe na utu we mama
  11. M

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    ukweli ni kwamba nimechoka sana kusubiri, nmepata mtu wa kubadilishana nae na taratibu zote tulifanya, jamani mpaka sasa mwaka umepita hakuna linaloendelea mbaya zaidi hakuna taarifa inyotolewa tujue kweli inaumiza sana
  12. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    jamani vibali lini vitatoka kwa yoyote aliyepata tetesi au tuanze upya? na je huko halshauri tutaaainiwa ?
  13. M

    msaada haraka: mtoto analia sana akiwa anataka kucheua

    habari ndugu zangu, mwanangu anamwezi mmoja na wiki tatu. Shida ni kwamba analia sana akiwa anataka kucheua analia sana nifanyeje?
  14. M

    Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

    Nawashukuru sana ndugu zangu nmepata elimu ya kutosha na naamini naendelea na ntaendelea kupata elimu zaidi na zaidi, hili la kunyonyesa na kumcheulisha mtoto nadhani ndipo lilipokuwepo tatizo ntajitahidi kumwelekeza mama mtoto
  15. M

    Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

    thanks alot mungu akubariki
  16. M

    Msaada haraka: mtoto analia siku nzima

    Amina nashukuru ndugu
Back
Top Bottom