kule. vijijini kwetu wazazi wetu hata hizo namba hawana. na kila siku wanatishiwa kufungiwa laini. wanaishi hawajui kesho yao. tukiwasajilia huku wa namba zetu tunafungwa miaka mitano.
asante awamu ya tano. tumenyooka kweli
Sent from my iPhone using JamiiForums
wakati nakatiza mitaa ya mlimani jana saa 2 usiku. nilikutana na mmama mmoja akiwa na mtoto umri wake kama miaka 9 hivi wa kike wakiwa wamevalia sare za bawacha wote. wakaniuliza watapata wapi dalala za kwenda kibamba nikawaambia kwa sasa daladala za mbezi zimejaa na ni chache labda mchukue...
Suala la NIDA. inawezekanaje mtu analala akiwa hajui hatma ya mawasiliano yake? Yaani watu wanakesha kama wanasubiri mwaka mpya. Hawajui kama watafungiwa au la!!
Hii inatisha sana kwa mustakabali wa taifa. Wakati wa kuandikisha wapiga kura na kutoa vitambulisho vya kupigia kura mnafika hadi...
Wakati Naibu Waziri wa Mawasiliano akisema serikali itatumia busara kuhusu usajili wa laini za vidole, ni busara dhidi ya nani au nini?
Ina maaana hili suala ni la kisheria hadi watumie busara? Nani alitoa tamko la usajili wa laini kwa njia ya vidole ili hali akijua uwezo wa NIDA?
Sent from my...
nimetoka kanisani. kufika nyumbani najaribu kupitia kwenye mitandao ya kijamii. nafika jamiiforums ndio nakumbuka kuwa leo ndio sisiemu wanateuana. nilikuwa nimesahau kabisa kama ni leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.