Wapendwa habari zenu???
Poleni na majukumu ya siku
Naombeni msaada wenu kwa wale waliowahi kusafiri na ndege ya Fast Jet ndani ya TZ
Nimebook kusafiri na shirika hili mwezi ujao mwishoni, nauli yao naiona resonable kulingana na matangazo yao.. niliwahi kubook nikafanyiwa laki mbili go-return...
nasikiliza clouds fm hapa machozi yananitoka, wamepiga wimbo wake alioimba, unasikitisha sana na ni kama alijitabiria kifo, anasema siku ya kifo chake watu watalia na wengine watasema wamepoteza msanii mzuri kanumba... Anamwamchia mungu nafsi yake na moyo wake ausimamie na aupookee...
Habari waungwana, Nashukuru Mungu nimeuona mwaka mpya, heri na kwenu pia wana JF. Niwaeleze tu jinsi mwaka mpya ulivyonikuta.. Kilaji cha nguvu, nilikuwa bwiii mpaka kubebwa kuletwa home, jambo ambalo si la kawaida hapo awali, je ndo nitakuwa wa bwiii mwaka wote wa 2012!!.... Wewe mwenzangu wa...
Ninashangazwa sana uendeshaji wa bunge letu jamani, hoja iliyopo ni mjadala wa uundwaji wa katiba, kinachoshangaza ni hawa wabunge wa ccm wao ni kujadili watu wa chadema tu, mara tundu lisu, mara mke wa Slaa, mara mboye.. Duu, na spika kakalia kiti.. Eti wanasema Lisu,Sendeka, Mboye ,Slaa...
Nilikuwepo kwenye hafla hii, ni siku aliyofuturisha, wanaume walipewa mifuko hii ikiwa na vikoi na supande wa wanawake mama salma aligawa zawadi ya aina hii ndani kukiwa na vitenge. Ni zawadi ya futuru.. Ila kwangu mimi sioni kama ni sadaka kwani anawaridhisha matajiri amabo hata hata hivyo...
<br />
<br />
Kwa ninavyozifahamu shule za serikali, ambozo nyingi ni shule za shule za kata, sijaona kama Mo KAFANYA KITU KIKUBWA ZAIDI HAPO, BORA ANGEBORESHA lABS KWANI WATOTO WANAFELI SANA MASOMO YA SAYANSI, ZAIDI YA HAPO HAPO KUNA SHULE WATOTO WANATEMBEA KM 15 KUIFUATA HIYO SHULE...
Wikiend imefika... Wameshatoa dharura feki.. wamekwenda kutuharibia mama zetu na dada zetu tu. Vijiappointment vinaanzia thasday.. Laana ya mungu iwe juu yao
Me nasema si lazima Chadema tu...hata angetafutwa mtu binafsi hata kama bakhresa tukamwambia tuendeeshee nchi kwa muda tu... maana ukisema chadema watasema uchochezi siasa......Hii nchi JK imemshinda kabisa.. ni umbumbumbu tu wananchi wachache wanaonunuliwa kwa doti za kaka, fulana, kofia na...
Natamani ningekuwa malaika, nikatua kila kwenye nyoyo za wabunge woote bungeni na kurudisha nia zao za umoja (si siasa) na kufanya maamuzi mazuri kwamba ukiacha budget ya wizara ya afya, Elimu na chakula, pesa zote zilizobaki zingeshughulikia kwanza suala la umeme, then budget ya mwakani ndo...
Hii tanzania ya amani wanayosema ipo siku watajutia na wataisikizia uhamishoni... Raisi, waziri mkuu hata hata tamko??? wiki watu hatuna umeme na wanalijua wanafanya wamefumba macho... unafiki mtupu
Hali ya maisha yangu jamani imeanza kuwa tete, kamshahara kangu ni ka kima cha chini... vibiashara vidogo vidogo ndo vinavyoniongezea kashilingi ka kusukuma maisha yangu... Hapa mtaani kwetu hatuna umeme leo siku ya tano... hvi hii serikali yetu inatufikiria kweli wananchi wa kawaida? wanataka...
Hivi huyo mbunge ni wa Chama Gani jamani? .... hvi kweli nape ni kakosa ustaarabu kiasi gani kutumia lugha ya matusi hivi?? kama mbunge alichaguliwa na wananchi na si yeye
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.