ushoga dar unachangiwa na kiasi kikubwa na kuiga tabia za kimagharibi kupitia filqmu tamthilia mitandao then kuna mabasha wanarubuni vijana wenye njaa na wengine wanajitakia wenyewe
ulaji wa nyama hauna shida kabisaaa ulaji wa miugali miwali miharagwe mikate mihapati na miwanga yootee na misukari ndiyo shida sana na chanzo cha matatizo yooteee watu wa dar ni wavivu sana mtu yuko tayari akae kwenye foleni dakika 50 wakati anaenda sehemu ya kutembea kwa miguu dakika tano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.