Na Lilian Lucas, Morogoro | Mwananchi
MKUU wa Mkoa mstaafu, Steven Mashishanga, amesema licha ya rais kufanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri, angetakiwa kupunguza idadi ya wizara kufikia 15, ili kupunguza mzigo kwa Watanzania kuwahudumia.
Akizungumza nyumbani kwake jana, Mashishanga...
Utafiti wa awali unaonyesha ugomvi wa kugombea urais ndani ya ccm umepungua na utazidi kupungua hasa wanachama na viongozi wengi wanapozidi kuhamia cdm. mmoja wa wa makada wa ccm waliohojiwa alinukuliwa na utafiti huu wa kujitegemea akisema...sasa wewe unaniuliza nini wewe huna macho ya...
Mkuu, huo sio mkakati mzuri, hao wabunge ni wanafiki. Wanao uwezo wa hata kumtoa Rais madarakani. Unajua hata kuandaa budget kwenyewe kunagharama zitatumika, kutopitisha budget maana yake hutaki maendeleo yafanyike. Yaani wao wakae tu bungeni wanalipwa wananenepa halafu kazi yao kukwamisha...
Jamii forum nayo ni muuaji mkubwa wa ccm...kila siku ni kujadili na kuanika ubaya wa ccm na kuwapa mikakati cdm jinsi ya kuimaliza ccm. Kwa kweli Jamii furum imewaunganisha wana_Tz wote duniani na kuwa kitovu cha kujadili na kutoa solutions...nao wanastahili pongezi!
Ccm angekuwa ni mtu sasa hivi maandalizi ya mazishi yangekuwa yameshaanza, ubongo ukifa ndio mtu ameshakufa hata kama bado anapumua! Ccm imeshakufa ubongo
Ccm angekuwa ni mtu sasa hivi maandalizi ya mazishi yangekuwa yameshaanza, ubongo ukifa ndio mtu ameshakufa hata kama bado anapumua! Ccm imeshakufa ubongo
Mnyonge mnyongeni lakini ukweli Arusha imeonyesha kuwa Bengazi ya ukweli. Matokeo ya uchaguzi mdogo wa ubunge Arumeru mashariki umefungua ukurasa mpya kabisa wa mapambano dhidi ya haki na uonevu. Huwezi kuamini kilichokuwa kinatokea maana kilichotokea huko huwa ni hatua ya juu kabisa kihistoria...
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe, amedai kwamba chama chake kimebaini mpango wa CCM kutaka kukidhoofisha chama hicho bungeni na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa NMC mjini hapa juzi, Mbowe alidai kwamba chama hicho...
KWA siku kadhaa zilizopita, Watanzania wamepokea taarifa za kushangaza za kuwepo kwa habari za kupikwa zinazolenga kuleta uchonganishi na uvunjifu wa amani miongoni mwa viongozi wa vyama vya upinzani.
Mwishoni mwa wiki jana, kulitolewa kile kilichodaiwa kuitwa ni waraka ulioandikwa na naibu...
Luckman, mimi sioni ni wapi katika maelezo ya Waitara amesema maji yanaweza kupatikana kwa kufanya desalination of seawater!. Ikiwa kasema hivyo ni kweli gharama za kuondoa chumvi kwenye maji ya bahari kuyafanya yafae kwa matumizi ya kunywa, kupikia nk ni aghali, lakini inawezekana...
Kuhusu suala la Nishati nchini, Mukama alisema NEC imeiagiza Serikali kuhakikisha kuwa inapunguza bei za mafuta na hasa ya taa ambayo yanatumiwa na wananchi wengi wenye kipato cha chini. Chanzo mwananchi 26 Nov 2011
KARNE YA 21 BADO WANANCHI WALIO WENGI WANATUMIA MAFUTA YA TAA KWA AJILI YA...
Ni kweli anazo taarifa pengine za kutosha kuhusiana na msimamo wao, nafikiri uamuzi wa kwenda kuonana naye si lazima awasikilize lakini ni moja ya hatua ya watu wastaarabu kujaribu kila namna nzuri isiyokuwa na gharama kubwa kabla ya kuchukua maamuzi mengine amabayo pengine ni ya gharama kubwa.
Katiba: Chadema yataka kukutana na Kikwete
Send to a friend
Monday, 21 November 2011 18:42
0diggsdigg
Geofrey Nyangoro na Keneth Goliama
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kamati ndogo ya watu sita kwa ajili ya kwenda kuonana na Rais Jakaya Kikwete kuwasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.