Huyo mtt amekekaririshwa hakuna anachojua,siasa za ccm hazi saidii nchi yetu,sana sana ni kutengeneza majizi ya kupora rasilimali zetu,na majizi kuja kulindana..
Kwa kinachoitwa ccm chipukizi kwangu mm naona ni watu kutafutia watoto wao maisha.. Na kuja kulinda maslah ya familia zao,badala...
Mimi niliwahi kupiga bao zaid 14 ndani ya masaa 24
Ila mpaka leo sijawah kufika nusu yake.. Miaka saba iliyopita,huyu alikua demu wangu alikua anafanya kazi Arusha kuna kipindi miaka ya nyuma kulikuaga na Bagamoyo marathon, sijui kama zile mbio kama bado zipo..
Mimi nilikua naishi dar so...
Yaani mimi kabisa nikakae nianze kujisemesha kwa rafiki zangu au ndugu zangu eti mwanamke wangu amenisaliti,Niwaambie kina masawe huyu amenisaliti? Aisee kuna vitu vya kuwaambia ndugu lkn si usaliti yaani nikae na ndugu zangu tunajadili ujinga wa mtu? Ode lawe nke isembo indo ndi.. Nke wa...
Habar za humu ..
Moja kwa moja bila kupoteza muda naomba kutoa mrejesho kuhusu mchumba wangu kuonekana na love bite shingoni..
Siku ile naandika hapa nilikua na hasira kali na isiyo elezeka niliazimia kurud dar ili nikamalizane nae kama nilivoandika pale.
Ila baada ya kuleta bandiko langu hapa...
Kwa hiyo kuwa mwanaume ndo uweze kusamehe usaliti?
Mwanaume wa kweli ni yule anaetoa adhabu kali ili iwe fundisho ..
Yaani anisaliti nimuache tu bila kumpa kash kash yoyote? Baada ya hapo wakanicheke na huyo jamaa yake? No mi siwez subir uchapiwe mkeo na ujue ndo utaelewa nachopitia kwa sasa.
Huyo mwanamke mm ndie niliemtafutia hiyo kazi hapo maana nilikua nafanya kazi hapo kabla sijapata kazi serikalini..So staff wenzake wengi nawajaua sabab niliwah fanya kazi nao ..
Kwa taarifa yako mm si mwanaume dhaifu..
Mwanaume ni kichwa
Mwanaume ni mfalme
Mwanaume ni dume la simba
Huezi kunitishia mm siogopi na huna cha kunifanya huezi toa ushauri pita kimya kimya
Unaeza kunitishia kunipiga ww tusichukuliane poa kabisa humu.. mtoto wako tu nyumbani alivunja glass...
Siendi kwake namleta kwangu ..nyumba yangu wanakaa wadogo zangu 2 .. Nishawapa kazi ya kunifanyia huko Arusha ila agenda iliyopo ni mm nibak na huyo mwanamke ili asiwepo wa kutuamulia..
Ukweli mm si mtu wa kumfatilia mwanamke wala kumbana .Na wala sitakagi kujipa mawazo ya kijinga sabab si leo nimeanza nae mahusiano ya Long distance nimekaa Finland kuanzia 2019 hadi niliporudi mwaka huu 2023 January nikakuta tumehamishiwa dodoma ..Mimi ni mtu mzima siwezi kumfatilia mtu mzima...
Kwa hiyo mm ndo nivumilie mwanamke wangu apigwe love bite nipotezee?
Kama aliamua kusaliti si angesaliti yaani ndo mpaka ang'atwe shingoni?
Huku ni kunikosea heshima na adabu na huu ni utovu mkubwa wa nidhamu ..
Aisee lazima apate alichostahili kupatiwa ..
Hadi hapa kashavuruga Ratiba yangu ya...
Mkuu haina haja ya uchunguzi. Kwa maumivu niliyo nayo lazima nimuumize zaid yangu ili iwe fundisho kwake asiende kufanyia watu wengine..siwezi kuumia peke yangu namna hii ..
Maumivu aliyo nisababishia lazima atayalipia..
Alie niambia ni dada mtu mzima tunaheshimiana sana na ni wale wadada swala 5.. kwa kweli hawez kunidanganya .
Na nia yake ilikua ni njema sabab si kitu kizur kimaadili kupigana love bite watu wazima . Na haileti heshima kwa wafanya kazi na wateja wao wanao wahudumia ..nia yake ilikua ni njema...
Jana jioni nilipigiwa simu na dada mmoja ambae anafanya kazi ofisi moja na huyo mchumba wangu. Bila kupepesa macho alinambia kwa nini umemfanyia hivo mwenzio?
Nikamuuliza mbona sijafanya kitu? Akanambia kwanini umng'ate mwenzio shingoni (Love bite) una mchoresha. Nilistuka lakini sikuonesha...
Mimi iliwahi kunitokea nimelala mchana kwenye saa tisa kuja kuamka saa moja usiku kigiza kama kile cha alfajiri. Kilichonizuzua zaidi nilimkuta bi mkubwa anapika chai. Mimi nikajua ndo kumekucha tena nikaenda nikaoga nikaingia chumbani. Tupia Uniform daa, natoka ndo naulizwa unaenda wapi? Usiku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.