Muda wao usha kwisha,ndo maana wana tufisadi kwa kila jinsi ili tupagawe pia tuvisahau vyama pinzani ikiwemo CDM.tunacho taka kujua sisi wana nchi wa TANZANIA,umeme ukowapi.tanzania tupo gizani,whay?
Muda wao usha kwisha,ndo maana wana tufisadi kwa kila jinsi ili tupagawe pia tuvisahau vyama pinzani ikiwemo CDM.tunacho taka kujua sisi wana nchi wa TANZANIA,umeme ukowapi.tanzania tupo gizani,whay?
Mgao wa umeme wilaya ya HAI MOSHI tishio,kwa weeky wanapata umeme mara moja,ofisi zinazo tegemea umeme za fungwa,watu wana lia njaa,mzunguko wa hela wilaya ya HAI MOSHI ni mgumu kwa sasa.kwa wanao tegemea umeme ni, fundi wellding,masecretar,fundi mbao wanao chana mbao kwa mashine na wanao...
Hivi?inakuwaje Tanzania tuwe na reslmali kama madini na almasi.na bado nchi iwe maskini?mbuga,milima,bandari,nk.hivi vyote hela zake zinafanyia kazi gani hasa.
Hizi pembejeo za kilimo zinazo tolewa nchini!ni matatizo tupu.mkoa knjaro wilaya ya HAI MACHAME MASHARIKI 50% ya wajane yatima wamekosa.na nimojawapo ya watu wenye mashamba.chakushangaza,30% ya wasio kuwa na mashamba ndo wamepata ruzuku.nauliza je tutafika?ufisadi mpaka kwa wenye viti vs...
Wadau sijawai kuona mkoa unao sumbua kwa umeme kama mkoa kilimanjaro hasa wilaya ya HAI MASHARIKI.kwa wiki tunapata umeme mara mbili tu mchana,siku zinazo fuata ni usiku na kukatika asubui.sasa nauliza tulio jiajiri na tunategemea umeme familia zetu si watakufa njaa?na umasikini ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.