Mh. Rais atafute washauri. Aniite nimshauri bure kabisa. Hao waliomshauri avae hivyo akapite karibu na wauza madafu na picha ipigwe akipita tu bila lolote lingine hawamtakii mema. Hata watalii wanafanya zaidi.
Kuwaelewa watanzania walio wengi ni ngumu na ugumu zaidi ni kuwa wanaamini wanaelewa kila kitu kilichotokea kuliko wahusika wenyewe na hivyo hata Mzee JK angesema nini bado wangeendelea kuamini wanachoamini.Sina baya na Mzee Lowassa ila alikuwa binadamu mwenye mapungufu yake na mazuri yake. Huu...
Unasema Chama halafu unamuongelea Makonda pekee. Makonda si Chama. Yaani wapambe mnakosa hekima ambayo yeye Makonda anayo. Yeye mwenyewe anasema Chama kimeelekeza hiyo ina maana hata uamuzi wa kumuondoa Bashe ikibidi utakuwa ni wa vikao na sio wa mtu. Makonda amewekwa hapo kupitia maamuzi ya...
Mnamdogosha sana Bashe. Mnamkuza sana Makonda. Msichojua si kila nguvu ya mtu iko wazi na inahesabika kwa wanaohudhuria mikutano ya hadhara ambao tunajua wanajaaje. Mbele ya umma ukiacha hii ishu ya Sukari Bashe ana heshima yake mbele ya wananchi na hata ndani ya chama ambayo hakutumia nguvu...
Tanzania ni nchi ya watu wavumilivu sana ila pia wabinafsi sana. Ogopa nchi watu wananaamshwa saa kumi kupandishwa malori kwenda mkutanoni wasikojua agenda wanachojua ni anakuja fulani na wakifika wanapewa 5000 kwa kazi ya kupiga makofi,kuzomea na kushangilia hata upuuzi. Reasoning yetu ni ndogo...
Una hoja ila hapo ulipoweka wa "ujasiri wa kisukuma" sasa umeleta ukabila. Na sisi Wazaramo hatupendi ukabila atii. Mchango wa elimu, exposure na mengine aliyoyapitia unaweza kuwa umemfanya alivyo na sio usukuma wake. Ujasiri hauna kabila, Nyerere na Sokoine hawakuwa wasukuma ila ujasiri...
Katibu Mkuu Dr. Nchimbi asilaumiwe kwa hoja za Makonda. Anajua kabisa majukumu yake na huko anakopita kuna viongozi wa CCM wa mikoa hadi matawi,walipaswa kumshauri nini cha kuzungumza huko kutokana na changamoto au kazi nzuri zilizofanywa kama sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
Anaitumia fursa vizuri. Ana malengo yake pia binafsi tofauti na ya taasisi. Kwahiyo anajijenga kote kote. Angeweza ku balance ingekuwa heri ila hizi mimi mimi sijui mimi ningekuwa mwenezi kipindi cha fulani hazimsaidii. Yeye ni Mwenezi chini ya Mwenyekiti Mh. Samia na aende kwa style ya uongozi...
Pendo jifunze kwa waliokutangulia kuhamia CCM. Tunapenda sana wapinzani wakihamia CCM ila hatusahau kuwa ulichokifanya unaweza kukifanya kwa CCM.Jijenge ndani ya CCM kwa mbinu tofauti na ya kutoa siri za ulikotoka. Jifunze kwa Katibu wetu wa UVCCM. Usihemke ukaongea sana ukaishia kutokuaminika...
Mpaka kasema kwa umma wa watanzania kuna zaidi ya mmoja. Na tayari ni threat. Wangeweza mtuliza huyo mmoja bila kelele ila kwakuwa wako kwengi CDF ameona liwe wazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.