Unamtukana bure jamaa. Ni kweli kwamba hii fomu siyo mpya, imekuwepo miaka, tatizo hakuna aliyekuwa anajali na taasisi chache zilizokuwa zinazingatia walikuwa wanafanya kama formalities tu. Nimeshajaza fomu hii zaidi ya mara moja ila hata sikupata feedback na safari ziliendelea.
Kwa matokeo haya tumepeta faida ya kuongeza watalii na kukuza pato la Taifa. Kila atakayechungulia matokeo ya leo, cha kwanza kuona ni 7-0!!! Kisha atatamani kujua zaidi kuhusu nchi yetu. Atakutana na Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro nk. Bravo Mkwasa!
Mkuu, malipo kwa Mwaka!!! Na kama mpangaji atataka kuondoka kabla ya mwaka kuisha kodi ya miezi iliyobaki utarudisha? Nadhani imefika wakati hili swala la kulipa kodi ya miezi sita au mwaka liangaliwe upya. Nchi nyingi kodi ya pango hulipwa kila mwezi maana hata mishahara hulipwa kwa week/mwezi...
Ngassa amekwisha, hamna kitu pale. Ameshindwa kabisa kuisadia timu yake ya Free State ya South Africa. Tangu amejiunga na timu hiyo hajafanya lolote la maana, nilishangaa kuitwa timu ya Taifa!
Mara nyingi Raisi wetu ameonekana akiwa kabandika nembo inayoonesha picha ya Africa kwenye koti lake. Kwa nini habandiki nembo ya bendera ya Tanzania??
Hahahahaha! Mwaka huu kila kigezo watakachoweka CCM atajitahidi kukitimiza ili tu awe Spika! Nadhani hapa atasema babu wa babu yake alikuwa Mzanzibari akahamia bara miaka mingi iliyopita!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.