Tatizo la Preta mgumu kutoa ushuhuda baada ya kutendewa......sijui hajasoma communication skills kujua nguvu ya feedback?
ananiharibia sana mwenzake kwa kuwa ushuhuda wake utanivutia na waumini wapya wa huduma yangu ya maombi kama wewe....
We Preta hobu toa ushuhuda basi mamie ili watu...
Ahsante kwa taarifa za kujitosheleza.....haya maubusara na mahekima yalipoteaga atiii
Pia samahani kwa kujua tayari maana last post yako ilikuwa imesheheni nikajua tayari pilau limeliwa
Anyway, mimi pamoja na familia yangu tunakuombea Mungu akukumbuke katika majukumu yako na pia katika...
The Return of MJ....
Karibu sana maana ulipotea watu tukashikwa na mashaka labda shem kachukua P/W akabadilisha ukashindwa ku-log in lol.....
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/188377-lol-kumbe-mkishaolewaga-ndo-mnakuwaga-hivyo.html
Peaceful Love
There is peace in my soul
For such a long awaited time
There is love in my life
A love of melody and rhyme.
Once you took hold of my heart
I knew no other could have reached
As whispered fate took my hand
To levels only you could reach.
You in my life
Will live...
Wewe umekuwaje tena, heeeeeeeee!!!! yaani nguvu za kurestisha in peace faster? No ili sisi waombaji wa kimataifa hatufanyi hivi bana....
Nakuombea kesho tu asubuhi kabla hujatoka home good kwako umkute kapiga magoti akikuomba msamaha na kukulipa....halafu ulete ushuhuda ili imani ya watu...
Karibu sana....hii inaitwa "Shock absorber" cha muhimu usilete ule msuli wa Jukwaa la Siasa huku maana tutakutoaga nduki,
Luck umepata mapokezi kutoka kwa mwenyeji, Preta
Ninakila haki ya kumuita mpuuzi (kama taarifa zako ni za kweli) kwa kusema ni uzushi wakati akisema hana taarifa......sasa kama hana taarifa anajuaje kama ni uzushi? jamani akili ni mali sana...
BTW Kutokujua ni kawaida yenu wote, Rais wenu akiwaongoza
Ni wazo zuri ila kulisisitizia kinyume chake pia ni muhimu sana......SERIKALI NA CCM YENU ACHENI KUICHOKONOA CHADEMA.......
Ni kweli tunawanyima usingizi lakini mtakuwa mnafanya la maana kama mtaegemeza nguvu zenu kusimamia shilingi kukua na kuhakikisha wananchi wenu wanamudu maisha na...
Kuna wakati nilisikia kama anaenda Somalia, hebu tujue maana ukute ndo Al-shabaab tena
Jamani nyie serious huyu mdada nammiss sana maushauri yake
Sisahau ligi yake na PJ kwenye suala la babu wa Loliondo......
Dada wa watu masikini aliletaga taarifa tumuombeage aolewe, mimi nikamuomebaga (hope na wengine), akapataga mume na ukawa mwanzo wa kututupa kabisa ...........kapotea jukwaani
Where are you Miss Judith? au ndo umetokaga kivingine? michango yako kama ningejumlisha na ya Ashadii basi mambo...
Kwa vyovyote vile iwavyo kufungia Dar Express na kuacha CHAKITO, DELUXE, HOOD, MOHD TRANS na yale mengine mengi ambayo week in week out utasikia yanapata ajali is ridiculous........
Hakuna mabasi yanayotoa huduma na uhakika wa usafiri kama Dar Express na hata ukitazama ajali zake chache...
Hii nchi bana, yani kila kitu kituko............mwaya Dar sikipuresi muanzage kuwachangiaga vihela vya kampeni kama wale wenzenu wanaoua hadi 200 kwa mwaka lakini bado wanadunda kisa tu wanachangia kusafisha magamba
Sasa wanagombana nini wakati wenyewe walikubali kama sehemu ya ubishani? walitaka washinde kesi wakati wenyewe walikubali?
Tukiacha mambo ya imani pembeni, akili ina umuhimu wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.