Ubalozi wetu uliopo Israel kuhamia Jerusalem au kubakia Tel Aviv sidhani kama kunatusaidia lolote kama Taifa bali kuwa waongeaji harakaharaka bila kutafakari faida kwa Taida ndiko kutatughalimu.. Hebu chukulia mfano wa Tanzania yetu..mji mkuu wake ni Dodoma lakini sijui kama kuna ubalozi hata...
Kama upo kwa muajiri mpya barua inayotumika ni ya muajiri mpya si yule wa zamani na kama hujawahi kuendeleza michango tangia uachane na muajiri wa zamani basi barua lazima upate toka kwa muajiri wa zamani.
Mh.tutanachotaka kujua ktk mikopo ya benki ni hiki
1.Percentage ya riba ya mkopo
2.Urahisi wa kupata mkopo(Kwa maana ya mahitaji ya viambatisho pamoja na muda wa kupokea..)
3. Ukubwa wa makato yao
4. Muda wa kukaa na mkopo eg.Miaka 3,4,5,6,au 7?
Ukitupatia haya kwa ulinganisho wa benki zote basi...
Hawa jamaa nadhani wanatuona tuna kauzezeta vichwani vileeeee.Yaani badala ya kutupatia pesa yetu tukajikwamua kwa kuitumia kama mitaji wao wanataka tufe waifaidi.Sitaki hata kusikia hiki kitu masikioni mwangu maana nasikia hasira inanivuka mipaka juu ya unyama huu wanaolazimisha kutufanyia...
Umeonesha uwezo wako wa kukariri maisha..huna tofauti na msukuma anayeenda dukani na kumwambia muuzaji nahitaji suruali ya mifuko mingi ya laki moja bila kujua inaweza ikawa hata elfu 20,000/=
Kinachoonekana humu na kila mahali ni hofu na kukata tamaa kwa wanachama na wapenzi wa chama kinachomaliza muda wake....Kila mahali wamejifanya wasamalia kuomba watu wasilinde kura zao duh..!!Naliona joto linavyokuwa jingi kwao.
Nadhani ni ujinga kuwarudisha watanzania wanakotaka kutoka....siraha yoyote inaweza kutumika endapo una hakika ukiitumia utamshinda adui yako..Hivyo kumjadili mtu hapa haitatusaidia maana urais ni taasisi na si mtu mmoja kama wengi wanavyoamini kinadhalia.Kama Urais ungekuwa ni wa mtu mmoja kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.