tatizo wake zetu nao hawana story mpya kila siku ni kulalamika tuuuuu...., hakuna jipya.., kwenye gari unakunja sura hakuna kucheka, majibu ya mkato, (sawa.., ulitakaje?..., subiri mwisho wa mwezi.. etc)...... !!!
NB: mi wangu tunacheka mwanzo mwisho.....
Ile issue ya Mzee Mengi haikupikwa ilikuwa kweli......, sema waliwahi kuharibu baadhi ya ushahidi ambao ungemuunganisha Nzowa moja kwa moja... maafande ni noma..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.