Search results

  1. M

    Nyaraka: Kashfa ya Richmond - Maagizo ya Lowassa na Uamuzi wa Serikali

    MW 100 au MW 106????? bona hizo dokezo zinatofautiana
  2. M

    Hongera TRA kwa kuweka Kikokotozi ambacho ni user friendly

    Hivyo vikokotozi havijawi kusaidia wananchi , TRA huwa wanauplift bei gari, ili mkaa mezani hapo ndio hizo excel formula zinapokuwa kizungumkuti.Ili ushushiwe irudi kwenye normal price yako lazima ukate...dah wanakela sana
  3. M

    Nape: Lowassa ameanza kufanya kampeni, yuko hatarini kuenguliwa

    Hivi mimi ninashindwa kuelewa hii nchi ,Eti mtu kutangaza nia , kushawishiwa ni kosa mpaka muda ufike? Muda upi? Sisi kama watanzania tulitakiwa kujuwa (hawa wagombea nia siku nyingi tena wawewameshajitokeza hadharani) haya mambo miaka 3 iliyopita kwanza tumechelewa.KIONGOZI wa nchi ni mtu...
  4. M

    Nyumba ya kupanga dar

    vyumba vingapi mi na chumba 1-self,sebule na jiko lake ndani kwa ndani- eneo Mabibo hakuna dalali nicheki fmbeshere@gmail.com
  5. M

    Vitz bei nzuri milango 5 inahitajika bei nzuri

    niko masaki mkuu nicheki tumalize 0754432409
  6. M

    Vitz bei nzuri milango 5 inahitajika bei nzuri

    Njoo uchukue ninayo yenye specs zako zote ulizozisema lete 4.5m tu hakuna mazungumzo.
  7. M

    kiwanja kinauzwa bei chee..Wazo!!

    comred, naomba unipigie tena nimejichanganya namba ya simu uliyonipigia jana, tafadhari nipigie nipate namba yako tupanga biashara
  8. M

    Naomba msaada wa ku reset password local machine windows 7

    Naomba msaada wa ku reset password local machine windows 7
  9. M

    Nyumba Inauzwa Mbezi Msakuzi Haijapauliwa

    TIQO Kiwanja hakina mgogoro kabisa mimi ndio mmiliki
  10. M

    Nyumba Inauzwa Mbezi Msakuzi Haijapauliwa

    Mkirua nitafute tuongee kaka sitaki dalali tu
  11. M

    Nyumba Inauzwa Mbezi Msakuzi Haijapauliwa

    Mkirua ina vyumba vitatu, kimoja master na pia kuna choo cha ndani ,dining na jiko iko kifamilia zaidi
  12. M

    Nyumba Inauzwa Mbezi Msakuzi Haijapauliwa

    Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil unaweza nipigia 0754432409
  13. M

    Universal Moderm inaitajika

    Mi ninayoT-Mobile Web & walk ExpressCard III unaweza pata speed mpaka 7.5Mbps bei 150,000 (fixed) nipigie 0754 432409 kwa maongezi ya manunuzi tu ......sio punguzo na nyimbo
  14. M

    Sensa ya idadi ya watu na makazi 2012

    Si watuhesabu kwenye kujiandikisha kwa ajiri ya Vitambulisho
  15. M

    Vitambulisho vya Taifa Vs Sensa ya Makazi

    Wanajamvi hivi kwanini tupange foleni ya kuandikisha vitambulisho wakati watu wa sensa watapita kila nyumba kumuhesabu mtu na kuchukua baadhi ya maelezo kwanini form hizo zisiwe ndio za NIDA. badala ya kutumia fedha kibao kwa kazi mara mbili au hao NIDA wahesabu na watu moja kwa moja? nawakilisha
  16. M

    Eti Azam ni waleta mapinduzi ya soka hapa nchini,NAKATAA

    Hicho ndio Azam wanataka kukomesha ulimbukeni wa usimba na uyanga ambao pia wewe unaonekana ni mnazi , Kwani Ngasa haujui mkataba wake na na Azam ukoje ? sasa anapoleta mapenzi kwenye kazi hayo ndio madhara yake kwanini aliamua kusaini azam kwa mbwebwe na fedha nyingi halafu leo anataka kurudi...
  17. M

    Nyumba mbovu inauzwa kinondoni shama

    Usanii mtupu...
  18. M

    Gari linauzwa-toyora rav4 5 doors

    weka bei
  19. M

    Bar code

    Hata mimi natoa mkuu barcode,barcode reader na barcode scanner nipigie tuongee biashara 0754432409 niko Dar..
Back
Top Bottom