Hivyo vikokotozi havijawi kusaidia wananchi , TRA huwa wanauplift bei gari, ili mkaa mezani hapo ndio hizo excel formula zinapokuwa kizungumkuti.Ili ushushiwe irudi kwenye normal price yako lazima ukate...dah wanakela sana
Hivi mimi ninashindwa kuelewa hii nchi ,Eti mtu kutangaza nia , kushawishiwa ni kosa mpaka muda ufike? Muda upi? Sisi kama watanzania tulitakiwa kujuwa (hawa wagombea nia siku nyingi tena wawewameshajitokeza hadharani) haya mambo miaka 3 iliyopita kwanza tumechelewa.KIONGOZI wa nchi ni mtu...
Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil
unaweza nipigia 0754432409
Mi ninayoT-Mobile Web & walk ExpressCard III unaweza pata speed mpaka 7.5Mbps bei 150,000 (fixed)
nipigie 0754 432409 kwa maongezi ya manunuzi tu ......sio punguzo na nyimbo
Wanajamvi hivi kwanini tupange foleni ya kuandikisha vitambulisho wakati watu wa sensa watapita kila nyumba kumuhesabu mtu na kuchukua baadhi ya maelezo kwanini form hizo zisiwe ndio za NIDA. badala ya kutumia fedha kibao kwa kazi mara mbili au hao NIDA wahesabu na watu moja kwa moja?
nawakilisha
Hicho ndio Azam wanataka kukomesha ulimbukeni wa usimba na uyanga ambao pia wewe unaonekana ni mnazi ,
Kwani Ngasa haujui mkataba wake na na Azam ukoje ? sasa anapoleta mapenzi kwenye kazi hayo ndio madhara yake kwanini aliamua kusaini azam kwa mbwebwe na fedha nyingi halafu leo anataka kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.