Nasikia walitoa majina kwenye website yao siku moja kabla ya interview, na nilibahatika kutembelea website yao siku hiyo hiyo kwenye 'news achieve' yao lakini hayo majina sikuyaona. ila kuna mtu alipiga picha hayo majina kama majina mawili ya mwisho.
Mbona vita bado inaendelea kupitia Commission..? Bashite Mimali ya kudhulumu watu kuwatishia kuwaweka kwenye list.
Na piaa vyeti feki, dharau, maneno ya kejeli.. Kwa nini watumishi wengine wafukuzwe yeye aachwe.
1. Malipo (mode of payment) ni makubaliano yote uliyosema hapo huwa zipo.
2. Mwanasheria anaye practise sheria ndio atleast yupo Conversant na matters nyingi na uwezo wa kuhandle different matters.
3. Aina ya mkataba Ni makubaliano pia. Yearly au kwa kila jambo linalotokea. Iyo pia ita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.