Slaa anasubiria kupeewa uwaziri ndani ya serifkali iliyojiibia namba za ushindi. kweli na Slaa unaweza kukubali waTanznaia watakueona wa ajabu na usiewataakia mema!!
Mwelezeni huyo SLAA kuwakwa mtindo walioutumia CCM kwa wizi uliobobea pamoja na yeye kuwaunga tela baada ya kupokea mshiko mzito! HATA yeye angeliingia kwenye kinyanganyiro yote yangebakia kuwa haya haya yaliyotokea asingeliweza kufikisha hata hizo wanazozusha za uongo kwa EL! Na asingelishinda...
Wasaliti hawa hawana huruma na hawaoni waTanznaia wakitaabika. Huu ni mfumo dume ulioko ndani ya mioyo ya U-CCM na unaendelea kuota zaidi JPM anafuata huoo mkumbo bila kutafakari kwa nini akubali kupokea mzigo hou wa wizi wa namba!! Na nakuhakikishia ilani ya chama ni kulindana hivyo tusitarajie...
tunachokiona hapa ni ukweli mtupu Tanzania mabasi mengi yanayoenda mikoa sasa hivi ni waChina wameyajaza Pugu road. Hivyo tusikatae ni wazi mchina ametawala asilimia kubwa.
Haya mambo ya kisiasa, inatubidi tuwe makini sana, tukijidanganya hatutafika mbali. Tuelewe kuna mlolongo mkubwa wa vyama na hivi vyma wanahama na kurudi! Tunachotaka ni mabadiliko na mabadiliko hayatakuja kama hatutajielimisha kuna na chama mbadala kuongoza waTanzania, tuendelee kuchekea tu...
Hello
To all visiting the Jamii forum. i am glad that we have such a nice place to post our concern. This site is very important to exchange and inform our peoples all happens and what is going to be. Tuendeleze wigo la upeanaji habari. asanteni.
Tibs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.