Mitanzania Bana ni dark country inayofurahia kufungwa goli 5 kwa 1 hata hivi uchumi unapopolomoka tunashangilia duuu kuja kwendelea cc labda shetani aje maana swala la mungu tuliweke pembeni
ww boya la kigogo mwambie afute sherehe za mwenge akitoa ruzuku ccm itaanguka madarakani maana mkitegemea kuiba hela zetu za kodi za wanainchi tutawavunja viuno, wenzenu wakianza kuchangisha watu wanajitole wakati nyie mnatafuta hela kununua wanachama
Baada ya kujua mshahara wa rais magufuli unataka ujue mshahara wa raisi mh.Lowasa ee maana mbowe sio raisi gamba labda mtutajie mshahara wa mwenyekiti wa ccm jambazi sugu hafu tutawatajia mshahara wa kamanda mbowe
kazi ya kamati za bunge sio kuchunguza rushwa ni kusimami utekelezwaji wa miradi ya serikali kwa hiyo kujiuzulu kwa wajumbe ni halali maana uvujaji unafanyika serikali hachukia mkondo wake(takukuru) safi sana zitto,bashe na wajumbe wngine waliojiuzulu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.