GIGO - Garbage In Garbage Out. Sisimu ndio walikua viziwi tangu mwanzo wa hiyo sheria ya mabadiliko ya katiba daima waliweka maslahi na ushabiki wao mbele ndio maana nimesema GIGO
Si hayo tu mkuu kuna waajiriwa wa serikali waliopaswa kuzuia,kupambana na kukamata hao majangili na mtandao wao. Ufanisi na dhamira ya serikali na vyombo vyake vya usalama kudhibiti uwindaji haramu ni wakutilia shaka
Hawa wazenji tunawasaidia sn lakin hawachoki kulalama huku wakisahau wema wote wa Watanganyika. Siku zote wanafaidi matunda yasiyokua ya muungano km nishati,ardhi n.k lakini pale wanaponusa harufu ya kugunduliwa kwa nishati ya gesi/mafuta wanasema "chako ni chetu ila changu ni changu mwenyewe"...
Demokrasia ipi hiyo chalii yangu. Uchaguzi ulifanyika na mbowe akashinda na atakua madarakani kwa miaka 5 saa shida hapa iko wapi. Pia katiba inamruhusu mwanachama kugombea bila kikomo hata kama ndio mwkt sasa mnatoka povu la nn.
Bila shaka mkakati wa kukidhoofisha CDM umekita kwny uchaguzi wa...
CDM ni chama makini na kinachothubutu kutoa maamuzi sahihi na kwa wakati mujarabu na kama Zitto kaonewa asiwe na shaka kuna vyombo vya rufaa na mahakama pia. Je yanini kuendleza mjadala huu wakati mpira uko kati ya CDM na Zitto lets wait and see the final results then everyone will judge.
Kuna...
Je Mbowe hayuko madarakani kihalali? ni upi ushahidi wa kungangania madaraka wakati kipindi chake bado?
kuahidiwa tu, mbona JK aliahidi maisha bora na ahadi lukuki na hajatimiza.
Hongera CDM kwa kuchukua maamuzi sahihi na magumu na ndicho kinachowatofautisha na wale wafanyao madudu magamba...
Zinjathropus tupo karne ya 21 na si enzi zako za zama za mawe. OPEC ndio wanaregulate kiwango cha uzalishaji mafuta kwa wanachama wake tu na KSA hawezi kukidhi mahitaji ya mafuta duniani. Russia ndio mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta na kiasi cha uzalishaji na bei hapangiwi na OPEC
Kwanini...
kwakuwa tunafahamu kutabiri siyo lazma yatokea kwahiyo haishangazi ikiwa majibu yatakua hasi ama chanya. Hata hayati sheikh Yahya alikua mtabiri pia na mengi tu hayatokei na hata wakati wa Yesu walikua watabiri wengi ambao walikuwapo pia wataalamu wa nyota.
Pia ni vizuri tukumbuke probability...
Suluhisho la kudumu siyo kuongeza faini bali ni kuboresha huduma za usafiri wa reli kwani ndio njia mujarabu wa usafirishaji wa mizigo mizito na kwa gharama nafuu kwa nchi kavu.
Pia mfahamu kile kinachoitwa "kuzidisha uzito" siyo kwamba ni lazma uwe umezidisha mzigo ila yaweza kusababishwa na...
nikweli kabisa sheria hii na nyinginezo zenye kufanana zifutwe na kutungwa mpya.
pia usipotoshe umma eti Mnyika alimtukana Kikwete bali alimkosoa na kumnanga na hiyo ni ruksa. Naunga mkono wale wote wanao ikosoa kwa ukali na bila kutafuna maneno serikali na yeyote yule anayepotosha umma bila...
Lazma upate kizunguzungu maana una akili ndogo na hili tamko limetolewa na akili kubwa therefore memory cant handle paging so system will hang and crush. Reboot ur system and run under safemode
Mkuu mm binafsi niliagiza gari mwezi julai mwaka huu na nikawaida ya TRA kutoikubali bei ya gari uliyonunulia eti wao wanayo bei elekezi ya kiwango cha chini. hivyo basi wao watakadiria kutokana na hizo bei zao na siyo hiyo yako. kingine kibaya ni kucheleweshwa kwa makusudi kupata release ili...
wanapelekwa kulishwa sumu na maCCM na kusikiliza porojo na mwishowe wanakipigia kura then baada wanatelekezwa
ila kwa sasa hili vuguvugu la mabadiliko bila shaka wataelewa somo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.